Naomba kufahamu kuhusu mashine za kukamulia maziwa ya ng'ombe

kobo

Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
16
Reaction score
1
kuna mashine zimenunuliwa ni zakituruk bt hazina manual book so nashindwa kuifanya vacuum inyonye maziwa kweny ng`ombe bt inawaka tu vacuum haifanyi kaz so kama mtu mwenye ujuz au namba ya mtu mwenye namba ya atakaye nisaidia plz wanajamvi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…