Naomba kufahamu kuhusu sakata la Escrow

Naomba kufahamu kuhusu sakata la Escrow

Adlo

Senior Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
197
Reaction score
240
HABARI Wana jamvi, napenda kujua zaidi kuhusu sakata la escrow, kwa mtu kama Mimi ambaye nimeishia kusikia sikia tu, MPAKA kupelekea baadhi ya viongozi kujiudhuru, na kumbuka aliyekuwa mbunge wa kagera (nimemsahau kina) ila alikuwa mwanamke alistaafu ubunge huku akizidi kupinga kujihusisha na sakata hilo,naomba kuwasilisha
 
WAZEE waliochukua ma Salfeti ya NOTI wapo salama huyo Mbunge ni Mama Tibaijuka alitolewa Chambo
 
Mkuu umeamua kutukumbushia machungu...watu walipiga pesa mpk leo Bado WANAKULA TU haziishi
 
Back
Top Bottom