Naomba kufahamu kuhusu syllabus mpya ya CPA

kijembeee

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2012
Posts
409
Reaction score
105
Habari wana JF,

Tafadhali naomba kujuzwa kuhusu hii sylabus mpya, in terms of exemption, scope of studying of the subjects in professional examination scheme, those eligible to start at intermediate stage and those who are not eligible, and any other relevant knowledge concerning this new sylabuss,

because nmeona ile press release ya sylabuss, and i have no complete information, kwa wale wanaojua naomba wanijuze kwa faida yangu na wanajf wengne walio interested.

i would love if utani tungeweka pemben na kutoa michango constructive,
have a nice time
 
Kama umeweza ku Access Website ya JF unashindwaje ya NBAA? Kiufupi kwa hii sylabus Mpya NENDA bANK KAOMBE MKOPO wa kuwaneemesha watu wenye Review Classes.
 
Kwa mujibu wa hiyo new syllabus, mtu aliyemaliza Bachelor degree ataanzia intermediate level (Six Subjects), kisha ndo ataingia final stage (Four Subjects)

Kwa mfano kama utaamua kufanya Module E mwezi May 2014, Kwenye New syllabus kama utatoka module E utakua na masono mawili ya final stage ba somo moja kwenye Intermediate

Click the link below for more details:

https://www.dropbox.com/sh/lzhvcnhppuyy38p/p_7mmRQAnQ
 
Mnahangaika na CPA ya Tanzania ambayo mtaani inazidi kudharauliwa kila siku! Watu wananunua tu siku hizi; NBAA wenyewe syllabus wana-copy ACCA na/au CIMA. Kwa nini usiifanye ACCA , CIMA au any other internationally recognised qualification? Kuchukua loan usome CPA ya nchi hii ni poor investment!
 

Gharama za kusoma CPA ni 755,000 so hiyo Loan ya kazi gani

Wenye uwezo wa kumudu ACCA cost ni wachache, na hata CPA inatambulika kimataifa pia wacha ku complicate mambo
 
Habari. ni kweli umesema kuhusu cost. ila kuhusu kutambulika, cpa ya marekani wanaitambua, ila cpa ya bongo inajulikana east Africa tu. ukisoma ACCA hlf ukataka kuchukua cpa ya bongo unapata exemption mitihan yte kasoro advanced taxation tu,

ila unapopiga cpa ya bongo ukirudi acca unakua na mzigo wa mitihani kibao, kama 7 hivi. ila kama ulivosema kama huna uwezo piga tu hyo hyo cpa ya bongo, bora kitu kuliko kukosa kitu, inafaida pia hapa nchini kwetu, ila ukizama nje hamna kitu.
 

Maisha yapo hivi: "Na pia ukipiga CPA ya bongo utafanikiwa kupata kazi nzuri, itakayokuingizia kipato cha kutosha na kukuwezesha kupiga ACCA nk"
 
Sijakataa, japo safari ni ndefu kwa style hiyo ila mtu unaruka kwa ubawa wako. unawezaa kua unatamani sana kusoma Havard lakini huna uwezo, unapiga UDSM unakula zako 1M kwa mwezi mshahara maisha yanasonga mazuri tu, japo ungepiga Havard mshahara kwa mwezi Milion 20. yote maisha.
 
Gharama za kusoma CPA ni 755,000 so hiyo Loan ya kazi gani

Wenye uwezo wa kumudu ACCA cost ni wachache, na hata CPA inatambulika kimataifa pia wacha ku complicate mambo

Taifa lipi? Nitajie nchi moja tu unayoifahamu- na achilia mbali za mbali - East Africa ambayo ukienda na CPA (T) unapewa kibali cha kufanya kazi za kihasibu bila additional qualification!
 
Hivi kwa mikoa kama Arusha ni wapi mtu unaweza kupata review classes za ACCA?
 
Hivi kwa mikoa kama Arusha ni wapi mtu unaweza kupata review classes za ACCA?

Arusha zipo review classes za ACCA, kuna mhindi mmoja anaitwa Abassi Sherali alikuwa anafundisha pale Financial Training Centre (FTC) but alifungua review yake huko arusha...sijafaham vizuri centre yake inaitwaje but kama ukihitaji just let me know ili nikutafutie mawasiliano yake!!!
 
nahitaji mkuu tafadhali
 
Nan amekwambia CPA-T aikubalik kimataifa...Tanzania is now a member if IFAC...which means CPA-T yyte anaeza fanya kaz kweny IFAC member countries...CPA-T isingekua na umuimu Tanzania isingepewa kaz ya kukagua ofis za UN...pia wapo wabongo wengi wanapiga mzigo kenya,egypt...usisahau pia dk assad(nbaa chairman) was recently elected as presdnt of PAFA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…