ELCB ni ya zamani siku hizi kuna RCD..!!Kila nyumba ambayo inaumeme,na ilifata kanuni sahihi za ufumaji na uwekaji umeme tayari ina vifaa ambavyo vinaweza kuikinga nyumba yako na radi.
Katika nyumba yako kuna kifaa ina itwa ELCB ambayo inawasiliana moja kwa moja na waya wa Earth uliochimbiwa chini katika nyumba yako.
Ikitokea Radi imepiga kuna umeme utaonekana wa ziada umevamia saketi ya nyumba yako na kifaa hicho kitajizima na umeme huo wa ziada utapelekwa ardhini na earth wire.
Majengo makubwa kama benk na.k huwekewa mufumo ya ziada ya kujilinda na Radi hasa kutikana mengi hua marefu,na kawaida kitu kirefu ndicho chhenye asilimia kubwa kupigwa na radi...
Vifaa vya kama kwenye mabenk unaweza funga kwako ila kwa mujibubwa kanuni za kiusalama za umeme wa majumbani zinazosimamiwa na IEEE huna haja ya kufunga mfumo kama wa majengo marefu wa kujikinga na radi kama nyumba yako ni ya chini,labda liwe gorofa.
Japo ukiamua unafunga unakua hujavunja kanuni za IEEE but tunasema "ume-overdo"
Yes kuna majengo bado yana ELCB japo kwa sasa RCD imetake over but they can be used interchangeably...ELCB ni ya zamani siku hizi kuna RCD..!!
SOMA HII POST ULIJUE VIZURI RADIWakuu ameni iwe kwenu.
Wakuu nimefanya uchunguzi wangu ambao siyo rasmi nimegundua nyumba karibia zote kwa mji ninaoishi hazijawekewa KINGA RAD isipokuwa majengo ya benki tu ndiyo yamewekewa.
Maswali yangu.
1. Hizi KINGA RADI zinauzwa kwenye maduka gani?
2. Gharama zake zikoje?
3. Je, hufungwa na wataalamu gani?
4. Umuhimu wake kwa majengo ikoje? Maana naona majengo mazuri na ya gharama hayana hii kitu.
4. Je, nyumba Yako we mwana jf ina KINGA RADI?
Naombeni msaada wataalamu wetu mliopo hapa JF.
Wakuu ameni iwe kwenu.
Wakuu nimefanya uchunguzi wangu ambao siyo rasmi nimegundua nyumba karibia zote kwa mji ninaoishi hazijawekewa KINGA RAD isipokuwa majengo ya benki tu ndiyo yamewekewa.
Maswali yangu.
1. Hizi KINGA RADI zinauzwa kwenye maduka gani?
2. Gharama zake zikoje?
3. Je, hufungwa na wataalamu gani?
4. Umuhimu wake kwa majengo ikoje? Maana naona majengo mazuri na ya gharama hayana hii kitu.
4. Je, nyumba Yako we mwana jf ina KINGA RADI?
Naombeni msaada wataalamu wetu mliopo hapa JF.
Kabisa, yapo majengo hata switch ni zile toggle switch za zamani sana, hasa majengo ya serikaliYes kuna majengo bado yana ELCB japo kwa sasa RCD imetake over but they can be used interchangeably...
Ingawa pia kuna vifaa vingine complex unaweza ongezea kuvifunga katika saketi kama tu eneo unaloishi umeona radi ni nyingi kuna lighttining arrestors za kisasa zipo siku hizi
Mkuu nashukuru nauliza hivyo yamewahi nikuta. Ilipiga RADI kuanzia Amita iliungua navyote ambavyo vilikuwa kwe1. Hizi KINGA RADI zinauzwa kwenye maduka gani?
Kujikinga na radi ni kwa kuweka earthing system nzuri nyumbani kwako. Ipo hivi;
Kwa kawaida, radi huanza na kitu kinachopitisha umeme na kipo juu zaidi ya vingine katika eneo husika. Ndiyo maana tunaambiwa tusisimame chini ya miti mirefu wakati wa radi maana uwezekano ma miti hiyo kupigwa na radi ni mkubwa.
Ukishaweka earth rod au earth mat, theni unaiunganisha kwa waya kwenda kwenye distribution board yako ndani, then unaiunga na waya kwenda juu ya paa la nyumba yako kama inavyoonyesha kwenye picha hapa chini.
View attachment 2916682
2. Gharama zake zikoje?
Hapa itategemea na resistivity ya ardhi ya eneo lako, lakini kwa ujumla utahitaji vifuatavyo
i. Pure copper earth rod 16mm X 1500mm (Tshs 140,000) au pure copper earth mat (Tshs 300,000 to 800,000/- kutegemeana na size)
View attachment 2916695
Earth mat.
View attachment 2916698
Earth rod ikiwa na earth wire (Green/Yellow)
ii. Green/Yellow earth wire isiwe chini ya 10 sqr mm itakayounganisha earth rod/earth mat na lightning rod inayowekwa juu ya paa lako (Tshs. 5,000/- per meter)
iii. Lightning rod (Tshs. 200,000/-)
View attachment 2916704
Lightning rod
iv. Labour charge. Hapa ni makubaliano, ingawa inaweza ikawa 25% to 30% ya material cost
3. Je, hufungwa na wataalamu gani?
Hii hufungwa na wataalamu wa umeme.
4. Umuhimu wake kwa majengo ikoje? Maana naona majengo mazuri na ya gharama hayana hii kitu.
Umuhimu wake ni kwenye kujikinga na radi. Ingawa hapa ni sawa na kukata bima. Unaweza usipate ajali na bima umekata na usione faida yake. Lakini likikukuta ndo utaona maana ya kuwa na bima.
5. Je, nyumba Yako we mwana jf ina KINGA RADI?
Binafsi sina hiyoi system kwangu. Nina normal earthing system kwa ajili ya current leakage ya nyumbani. Lakini pia, kama eneo lako halina radi za mara kwa mara, umuhimu wa kuwa na system hii unazidi kuwa mdogo
Natumai nimeeleweka
Mkuu nashukuru nauliza hivyo kwani yamewahi nikuta. Ilipiga RADI Kila kitu kiliungua kuanzia Amita na vyote ambavyo viliunganisha kwenye mfumo wa umeme bila kujali vilikuwa off/on. Kifupi nikipata hasta.1. Hizi KINGA RADI zinauzwa kwenye maduka gani?
Kujikinga na radi ni kwa kuweka earthing system nzuri nyumbani kwako. Ipo hivi;
Kwa kawaida, radi huanza na kitu kinachopitisha umeme na kipo juu zaidi ya vingine katika eneo husika. Ndiyo maana tunaambiwa tusisimame chini ya miti mirefu wakati wa radi maana uwezekano ma miti hiyo kupigwa na radi ni mkubwa.
Ukishaweka earth rod au earth mat, theni unaiunganisha kwa waya kwenda kwenye distribution board yako ndani, then unaiunga na waya kwenda juu ya paa la nyumba yako kama inavyoonyesha kwenye picha hapa chini.
View attachment 2916682
2. Gharama zake zikoje?
Hapa itategemea na resistivity ya ardhi ya eneo lako, lakini kwa ujumla utahitaji vifuatavyo
i. Pure copper earth rod 16mm X 1500mm (Tshs 140,000) au pure copper earth mat (Tshs 300,000 to 800,000/- kutegemeana na size)
View attachment 2916695
Earth mat.
View attachment 2916698
Earth rod ikiwa na earth wire (Green/Yellow)
ii. Green/Yellow earth wire isiwe chini ya 10 sqr mm itakayounganisha earth rod/earth mat na lightning rod inayowekwa juu ya paa lako (Tshs. 5,000/- per meter)
iii. Lightning rod (Tshs. 200,000/-)
View attachment 2916704
Lightning rod
iv. Labour charge. Hapa ni makubaliano, ingawa inaweza ikawa 25% to 30% ya material cost
3. Je, hufungwa na wataalamu gani?
Hii hufungwa na wataalamu wa umeme.
4. Umuhimu wake kwa majengo ikoje? Maana naona majengo mazuri na ya gharama hayana hii kitu.
Umuhimu wake ni kwenye kujikinga na radi. Ingawa hapa ni sawa na kukata bima. Unaweza usipate ajali na bima umekata na usione faida yake. Lakini likikukuta ndo utaona maana ya kuwa na bima.
5. Je, nyumba Yako we mwana jf ina KINGA RADI?
Binafsi sina hiyoi system kwangu. Nina normal earthing system kwa ajili ya current leakage ya nyumbani. Lakini pia, kama eneo lako halina radi za mara kwa mara, umuhimu wa kuwa na system hii unazidi kuwa mdogo
Natumai nimeeleweka