Japo mimi sio mfatiliaji sana wa mpira wa miguu ila nimekiwa nikijiuliza hili swali.
Ni kitu gani kinawafanya wachezaji wa kigeni kupenda kucheza soka la kulipwa Tanzania?
Binafsi sifahamu. Nimekuwa nikisoma magezeti mbalimbali yaani unaona wapo wachezaji huku nje tamaa yao ni kucheza Tanzania. Yaani Tanzania hii hii ambayo sio nchi tajiri, inanishangaza sana.
Nitatoa mifano michache,
Unasikia mchezaji kama Okwi anatamani kurudi kucheza huku. Yule Makambo alirudi kucheza tena huku. Kuna mchezaji wa Rwanda Tuyisenge alipohojiwa anasema anaamini kama deal litaenda vzr siku moja atakuja kucheza bongo.
CEO wa Simba majuzi anasema anapata simu za mawakala wengi wachezaji wao wanataka kuna kucheza Tanzania Simba etc.
Ndugu yangu mmoja aliniambia kuna wachezaji fulani wa kigeni baada ya kustafu soka sasa wanaishi bongo.
Sasa niwaulize nyie mnaojua soka la bongo, kipi kinawavutia wageni kucheza hapa? Kiasi kwamba mchezaji yupo radhi hata kucheza ligi daraja la kwanza!!
Ni kitu gani kinawafanya wachezaji wa kigeni kupenda kucheza soka la kulipwa Tanzania?
- Je, wanapata mshahara mzuri?
- Je, wanapewa mahitaji ya msingi kama nyumba na magari na bonasi nyingi?
- Je, starehe zipo za kutosha?
- je watanzania wanapenda sana mpira kiasi kwamba mchezaji? anajisikia kupata sapoti wakati wote?
Binafsi sifahamu. Nimekuwa nikisoma magezeti mbalimbali yaani unaona wapo wachezaji huku nje tamaa yao ni kucheza Tanzania. Yaani Tanzania hii hii ambayo sio nchi tajiri, inanishangaza sana.
Nitatoa mifano michache,
Unasikia mchezaji kama Okwi anatamani kurudi kucheza huku. Yule Makambo alirudi kucheza tena huku. Kuna mchezaji wa Rwanda Tuyisenge alipohojiwa anasema anaamini kama deal litaenda vzr siku moja atakuja kucheza bongo.
CEO wa Simba majuzi anasema anapata simu za mawakala wengi wachezaji wao wanataka kuna kucheza Tanzania Simba etc.
Ndugu yangu mmoja aliniambia kuna wachezaji fulani wa kigeni baada ya kustafu soka sasa wanaishi bongo.
Sasa niwaulize nyie mnaojua soka la bongo, kipi kinawavutia wageni kucheza hapa? Kiasi kwamba mchezaji yupo radhi hata kucheza ligi daraja la kwanza!!