Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Habari, naomba kujuzwa kidogo kuhusu tabaia/sifa za watu wa mkoa wa Mbeya hasa (Wanyakyusa). Wanasifa gani tofauti na za makabila mengine hasa Wanaume wa kinyakyusa(Distinctive features)?

Kwanini nauliza?

Well, kwa sababu zangu binafsi. Mara nyingi napenda kujitambulisha kabila langu kua ni "msukuma" na naongea kisukuma pia somehow. Bahati mbaya sana huwa japo najitambulisha kama msukuma ila hua wanakataa na kusema mimi ni mnyaki.

Eneo nililopo sasa wananiita mnyaki na wengine hupenda kuniuliza habari za Mbeya ila Sijawahi kufika Mbeya hata siku moja. Nikiuliza kwanini mnadhani mimi ni mnyaki wanasema wanyaki wanaume sura/muonekano wao haujifichi.

Kilichofanya nichukulie serious hii ishu ni jambo lililotokea wiki hii, nilienda mahali fulani kupata huduma unfortunately some inconvenience emerged and it was kinda a no-go on my service. Ila mtoa huduma mdada akaniambia nakusadia tu kwakua wewe ni "wakwetu." Nilishtuka kidogo nikauliza kwenu wapi? Akajibu Mbeya!

Nikauliza umejuaje mimi natokea mbeya? Akasema pia sura yako inaonyesha ni myakyusa😅, ili nisikose huduma ikabidi nikubali tu.


Hear, Hear
Nijuze sifa za watu hawa ili nijue kwanini nami nachukuliwa hivyo!
I want to embrace it, nianze kujitambulisha kama mnyakyusa.✌️
 
Habari, naomba kujuzwa kidogo kuhusu tabaia/Sifa za watu wa mkoa wa mbeya hasa (Wanyakyusa). Wanasifa gani tofauti na za makabila mengine Hasa Wanaume wa kinyakyusa(Distinctive features).

Kwanini nauliza??

Well.. Kwa sababu zangu binafsi Mara nyingi napenda kujitambulisha kabila langu kua ni "Msukuma" na naongea kisukuma pia somehow. Bahati mbaya sana hua japo najitambulisha kama msukuma ila hua wanakataa na kusema mimi ni mnyaki. Eneo nililopo sasa wananiita mnyaki na wengine hupenda kuniuliza habari za mbeya ila Sijawahi kufika mbeya hata siku moja...Nikiuliza kwanini mnadhai mm ni mnyaki wanasema wanyaki wanaume sura/muonekano wao haujifichi.

Kilichofanya nichukulie serious hii ishu ni jambo lililotokea wiki hii, Nilienda mahali fulani kupata huduma Unfortunately some inconvenience merged and it was kinda a no-go on my service. Ila mtoa huduma mdada akaniambia nakusadia tu kwakua wewe ni "wakwetu," Nilishtuka kidogo nikauliza kwenu wapi?? Akajibu.. Mbeya!!

Nikauliza umejuaje mimi natokea mbeya?? Akasema pia sura yako inaonyesha ni myakyusa😅 Ili nisikose huduma ikabidi nikubali tu.


Hear, Hear.....
Nijuze sifa za watu hawa ili nijue kwanini nami nachukuliwa hivyo!
I want to embrace it...Nianze kujitambulisha kama mnyakyusa✌️
Hapo muulize bimkubwa vizuri we ni mnyakyusa ama msukuma...............
 
Inawezekana jina lako hasa la ukoo / ubini linaanza na Mwa. Hata mimi watu wengi huniambia ni mchaga na kiuhalisia sio mchaga
Hapana mkuu, bahati mbaya katika majina yagu yote matatu hakuna la kiswahili/kikabila. Mara nyingi naambiwa sura yangu ni ya kinyakyusa (utulivu??? Ukimya??)
 
Jiangalie vizuri mtu mbad,hujafanana na parachichi la Tukuyu kweli?🤣

Sina jibu la moja kwa moja,lakini nadhani kuna muonekano fulani wa sura huwa unatoa ishara asili ya mtu,kwangu huwa rahisi sana kuwatambua wabena na wakinga hata nisiposikia rafundi yao,huwa nikiona muonekano wa sura najua huyu kama si mbena ni mkinga.

Labda mababu huko waliinteract na wanyakyusa,so una vifeature fulani kimuonekano,kama wanyakyusa wengi waonekanavyo.
 
Naanza kwa upande wa wadada

Mnyakyusa pure ( wa tukuyu ...& Kyela & busokelo) mdada lazima awe hivi[emoji23][emoji23]

Ingawa pia wasukuma wamebarikiwa
Gwede gwede
hqdefault.jpg
 
Jiangalie vizuri mtu mbad,hujafanana na parachichi la Tukuyu kweli?🤣

Sina jibu la moja kwa moja,lakini nadhani kuna muonekano fulani wa sura huwa unatoa ishara asili ya mtu,kwangu huwa rahisi sana kuwatambua wabena na wakinga hata nisiposikia rafundi yao,huwa nikiona muonekano wa sura najua huyu kama si mbena ni mkinga.

Labda mababu huko waliinteract na wanyakyusa,so una vifeature fulani kimuonekano,kama wanyakyusa wengi waonekanavyo.
Mkuu nina rafudhi ya kichuga..

Kuna mdada mmoja yopo early 40 kaka yake ni rafiki yangu(kind of) nilikua nikienda hapo kwa kaka yake anansalimia "Habari yako Ambwene" mimi naitika tu always bila kujua.

Siku moja nipo na kaka yake, kaka yake akaniita wewe "Msukuma" njoo hapa yule dada akashangaa kusikia mimi ni msukuma. Akaniambia siku zote alikua anajua mimi ni mnyakyusa kutokana na jinsi ninavyoonekana ndio maana alikua ananiita Ambwene...Kwamba Vijana wa kinyakyusa ni Wapole.
 
Back
Top Bottom