Naomba kufahamu taratibu za uanzishaji wa microcredit

VeroEretico

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
512
Reaction score
398
Wadau wale wataalamu wa mambo ya uchumi na ujasiriamali naomba kufahamishwa kuhusu Taratibu zinazotakiwa kufuata na kiasi cha mtaji wa fedha unaohitajika ili kuanzisha Microcredit Company hapa Tanzania?
Mnakaribishwa kwa mchango yenu
 
Wadau wale wataalamu wa mambo ya uchumi na ujasiriamali naomba kufahamishwa kuhusu Taratibu zinazotakiwa kufuata na kiasi cha mtaji wa fedha unaohitajika ili kuanzisha Microcredit Company hapa Tanzania?
Mnakaribishwa kwa mchango yenu
1.Tafuta jina na sajili kampun.
2. Baada ya kusajili brela utaenda wizara ya viwanda na biashara kuomba leseni ambayo ni kama tshs.600,000.
3.Kuhusu mtaji hata tshs million moja unaweza kuanza inategemea unataka kutoa mikopo ya aina gan na kias gani
4. N biashara nzur yenye ushindan na inahitaj commitment kubwa.
 
Asante Sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…