ndechilio shoo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 997
- 365
Ngoja wakwere waje wakujibu Mkuu
Hizi 800.........
Habari zenu wakuu,naombeni kufaham umbali uyopo bagamoyo mjini na hapo kwenye maeneo ya ujenzi wa bandari,usafiri upo wa uwakika na barabara ipo imara.
Ngoja wakwere waje wakujibu Mkuu
Kumbe bado una mawazo ya kizamani siku hizi Bagamoyo wageni wengi kuliko hao wakwere na wazaramo. Wenyeji wengi wamevuliwa maeneo wameenda mbali na hata huo mradi wa bandari umewaondoa wengi hapo pia kuna mradi wa EPZA nao umekimbiza wengi sana. Siku hizi hata viwanja bei juu kuliko za huko Dar make wanaouza ni wale walionunua sio hao wenyeji
Ina maana bagamoyo hakuna wakwere:what:
Wapo lakini kwa comment yako hapo juu ilionyesha kuwa bagamoyo bado ni ya wakwere tu na ndo wanaweza kutoa majibu kumbe tayari bagamoyo ni sawa na Dar tu haitawaliwi na kabila hilo.
b,moyo kunaprot nilinunua lak 4 miaka ya 2005, 20*20.... maeneo ya bong'wa, kwa sasa cjui sh. ngapi? anaye jua anijuze!