Over the hedge
Senior Member
- Sep 6, 2019
- 143
- 162
π π π π πMkuu wa majeshi ya TANAPA ni Kigwangala....."wewe unataka cheo hutaki haya piga pushapu 20, wewe unaleta masihara? Ruka kichuraa chura mpaka kule"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli unayoyasema lakini mi nilitaka kujua tu vyeo vyao vipojeTuko busy na Corona kwanza achana na hayo mavyeo bandia hakuna kitu hapo nyota zinazoeleweka ni JWTZ peke yake. Hayo manyota mengine ni utumbo tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali juu ya swali ππ
Kama unamfaham Naomba tujuzeTuko busy na Corona kwanza achana na hayo mavyeo bandia hakuna kitu hapo nyota zinazoeleweka ni JWTZ peke yake. Hayo manyota mengine ni utumbo tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu muda wa kuandika comment hii singeutumia kuendeleza ile story ya Zambia!! Au baado simu mbovu?
Okay shukrani1.Kamishna wa Uhifadhi equivalent Mkurugenzi Mkuu
2.Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi- equivalent na Mkurugenzi/ Meneja wa Idara
3. Afisa Uhifadhi Daraja fulani, etc etc
.......
Vipi mishahara yao???? Nasikia hawa jamaa wanaweza wasiulize hata mishahara imetoka lini. Wana run maisha kwa posho na bahasha.....
Waalimu wakisikiaga hizi habari roho zinawauma kinomaaaa
............Okay shukrani
We umeona wapi MCHAGA akawa mjeda?!?? TANAPA wamejaa WACHAGATuko busy na Corona kwanza achana na hayo mavyeo bandia hakuna kitu hapo nyota zinazoeleweka ni JWTZ peke yake. Hayo manyota mengine ni utumbo tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwamba scale za mashirika ya umma kama TRA, TANAPA, TANESCO, DUWASA DAWASCO, VETA, UDSM, UDOM ,MWEKA, TMDA, MSD, MOI, MNH, na POSTA na mashirika mengine kama hayo scale zao za mishahara zipo juu. Unaweza kuta regional manager wa haya mashirika anakwenda sahani moja na naibu waziri wa wizara. Jiulize je wakurugenzi wa hayo mashirika ni vipi.Huwa nasikia mishahara yao huwa iko juu kidogo kuliko ile ya serikali
Mfano kama mmesoma wawili wote degree moja lakin mkapata kazi sehem tofauti, lets say labda wa kwanza amepata tanapa na mwingine akapata halmashauri.
Huyu wa tanapa atakuwa analipwa hela nyingi kdg ukifananisha na yule wa halmashauri
ππΎ
Hamna Jeshi hapo ni maraia menzetu yameunda kundi la kulinda wanyamaSiku ambayo hawa maafisa wanavyishwa hivi vyeo walisema ni vyeo vya kijeshi.
Je, Mkuu wa Jeshi la TANAPA ni nani ?
Je, vyeo vyao vinafanana na JW au vina utofauti?
[emoji601]
Mkurugenzi TANAPA ni 11M,Ni kwamba scale za mashirika ya umma kama TRA, TANAPA, TANESCO, DUWASA DAWASCO, VETA, UDSM, UDOM ,MWEKA, TMDA, MSD, MOI, MNH, na POSTA na mashirika mengine kama hayo scale zao za mishahara zipo juu. Unaweza kuta regional manager wa haya mashirika anakwenda sahani moja na naibu waziri wa wizara. Jiulize je wakurugenzi wa hayo mashirika ni vipi.
Hapo unakuta mwenye elimu sawa na mtu wa hayo mashirika lets say ni yupo hamashauri fulani ni msoto.
Imagine mtu mwenye kiwango cha elimu sawa na ww. Yy PAYE yake hata gross salary yako haiingii.
Unaweza sema bora ufe....
πππππ