Naomba kufahamu yafuatayo kuhusu Baraza la Ardhi la Kata na Baraza la ardhi la Wilaya

DENAMWE

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2019
Posts
862
Reaction score
871
Naomba kufahamu yafuatayo kuhusu Baraza la ardhi la Kata na Baraza la ardhi la Wilaya:
1. Wajumbe wake wanapatikanaje.
2. Idadi ya wajumbe.
3. Muda wa kazi kabla ya kubadilishwa/kuondolewa ni miaka mingapi.
4. Majukumu/kazi zake.
5. Malipo yao.
Na mengineyo kama yapo.
 

Ngoja waje wajuzi
 
Wanachaguliwa na mkutano mkuu wa kijiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…