Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Ni wangapi wanauwezo wa kwenda private hospitalsTatizo siyo Nurse wala doctor ila tatizo lako hilo liko kweny Government hospital lakn huku private hospital mambo nimazuri....sana ....unaweza mmpeleka mgonjwa kweny hospital ya serikal bila kumshughulikia wewe mwenyewe kwa kujiongeza basi ujue ndo basi tena maana atopata Huduma yeyote ya Maana Zaidi ya Panadol na vidonge viwil vya kukojoa..
Nadhani Sheria inabid imbane wazir wa afya.
Hata private pia. Kuna issue za kuover charge, kulaza watu bila sababu ya msingi, kukimbilia kufanyia watu operation bila ulazima wowote kuna madudu mengi tu na yote haya ni kunyonya watu pesa zao kwa lazima.Tatizo siyo Nurse wala doctor ila tatizo lako hilo liko kweny Government hospital lakn huku private hospital mambo nimazuri....sana ....unaweza mmpeleka mgonjwa kweny hospital ya serikal bila kumshughulikia wewe mwenyewe kwa kujiongeza basi ujue ndo basi tena maana atopata Huduma yeyote ya Maana Zaidi ya Panadol na vidonge viwil vya kukojoa..
Nadhani Sheria inabid imbane wazir wa afya.