Naomba kufundishwa lugha ya kichaga

Naomba kufundishwa lugha ya kichaga

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Wakuu nawasalimu.

Mimi ni mchaga niliyezaliwa na kukulia nje ya mkoa wa Kilimanjaro ambapo sikuwa na fursa ya kujifunza lugha ya kichaga.

Nimejaribu kuangalia resources mbalimbali kwenye mtandao sijapata ya kuniwezesha kujifunza kichaga.

Kama kuna yeyote anayeweza kutupia hapa somo for the beginner natanguliza shukrani za dhati.
 
Mkuu raslimali , nani aliyekufundisha Kiswahili? -- Hakuna. Ulijifunza mwenyewe.

Njia bora kuliko zote ya kujifunza lugha, na kimsingi, elimu yoyote: ni kujifundisha mwenyewe. Ukipata menta (stelingi wa kukusaidia) inaharakisha zaidi muda wa wewe kujifunza. Mfano: Soma / Sikilizia Biblia ya Kichaga; linganisha na ya Kiswahili.

Wajukuu wetu watajifunza lugha za Kiafrika Ulaya, maana wao ndio wanaziandika, na kuzifanyia curation; wakati sisi huku wazungumzaji wanapungua kila uchwao.

Angalia video za laoshu505000 kwa hamasa na mbinu za kujifunza lugha kwa haraka.


 
Wakuu nawasalimu.

Mimi ni mchaga niliyezaliwa na kukulia nje ya mkoa wa Kilimanjaro ambapo sikuwa na fursa ya kujifunza lugha ya kichaga.

Nimejaribu kuangalia resources mbalimbali kwenye mtandao sijapata ya kuniwezesha kujifunza kichaga.

Kama kuna yeyote anayeweza kutupia hapa somo for the beginner natanguliza shukrani za dhati.
mbona simple tu....tafuta mshikaji wa kichaga.... wiki tu !!
 
Wakuu nawasalimu.

Mimi ni mchaga niliyezaliwa na kukulia nje ya mkoa wa Kilimanjaro ambapo sikuwa na fursa ya kujifunza lugha ya kichaga.

Nimejaribu kuangalia resources mbalimbali kwenye mtandao sijapata ya kuniwezesha kujifunza kichaga.

Kama kuna yeyote anayeweza kutupia hapa somo for the beginner natanguliza shukrani za dhati.
"ngashtuka machale kundesa"
 
Ambonyi syafo/ habari yako kuna kamusi na bibilia za kichaga mimi pia nimejifunza ukiongea naelewa vizuri naweza kuongea kuandika sijawahi ata kuona maandishi yake
 
Back
Top Bottom