Mdugo
Member
- Nov 17, 2017
- 55
- 37
Salaam wana jukwaa.
Naomba nianze moja kwa moja bila kupoteza muda. Mimi ni mhitimu wa Chuo cha Kikatoliki Mwenge, Moshi katika Bachelor of Science With Education. Katika pita pita zangu nimefundisha shule kadhaa tangu nimalize mwaka jana, Ila naomba kupata ujuzi zaidi katika Ufundi wa Simu.
Interest yangu ni kuwa Fundi wa Hardware pamoja na Software katika simu. Naomba kama kuna Fundi tayari katika Forum hii, Anisaidie mawazo na Jinsi navoweza kujifunza skills hizi za ufundi.
Pia, kama anaweza kunichukua nikawa namsaidia kazi zake huku nikiwa najifunza kwake, kama masomo ya mafunzo kwa vitendo itakuwa vizuri zaidi maana nitajifunza vizuri na kwa ufasaha zaidi.
Asante, Nawasilisha.
Naomba nianze moja kwa moja bila kupoteza muda. Mimi ni mhitimu wa Chuo cha Kikatoliki Mwenge, Moshi katika Bachelor of Science With Education. Katika pita pita zangu nimefundisha shule kadhaa tangu nimalize mwaka jana, Ila naomba kupata ujuzi zaidi katika Ufundi wa Simu.
Interest yangu ni kuwa Fundi wa Hardware pamoja na Software katika simu. Naomba kama kuna Fundi tayari katika Forum hii, Anisaidie mawazo na Jinsi navoweza kujifunza skills hizi za ufundi.
Pia, kama anaweza kunichukua nikawa namsaidia kazi zake huku nikiwa najifunza kwake, kama masomo ya mafunzo kwa vitendo itakuwa vizuri zaidi maana nitajifunza vizuri na kwa ufasaha zaidi.
Asante, Nawasilisha.