Naomba kufunzwa namna ya kupika mihogo

Naomba kufunzwa namna ya kupika mihogo

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Jamani nipeni tips za kuupika mhogo upikike utest nicely nienjoy nawapendwa wangu.
 
Muhogo wa nazi wa kukaanga au kuchemsha?
Siri ya muhogo pia ni muhogo wenyewe...kuna muhogo ukiupika mara moja ila mwengine hata uutie nazi ngapi utakuta unakuangalia km ulivyokua
 
Muhogo wa nazi wa kukaanga au kuchemsha?
Siri ya muhogo pia ni muhogo wenyewe...kuna muhogo ukiupika mara moja ila mwengine hata uutie nazi ngapi utakuta unakuangalia km ulivyokua

Wa kupika na mchuzi hivi sio wa kukaanga maana kuna wabebi pia
 
Mie binafsi ninavyopika ni hivi,
Mahitaji
-mihogo
-nyama/maharage
-nyanya
-kitunguu maji kikubwa
-karoti
-pilipili hoho
-pilipili mbuzi
- tui zito la nazi,
-chumvi
-mafuta
maandalizi,
osha vitu vyako vyote kwa maji safi na salama,
-mihogo imenye kisha ikate katika vipande(napendelea vibox)ili iwive haraka.
Njia ya kwanza,
unaweza kuchemsha mihogo na kutia viungo vyote,
AU unaweza kuchemsha mihogo na nyama ikishaiva,unakaanga viungo kisha unatia mihogo na nyama unachanganya,na mwisho unatia nazi,
n.b chumvii ni muhimu kuweka kwenye mihogo wakati unachemsha,
pia kama haupendi ukali wapilipili mbuzi unaweza kuiosha na kuidumbukiza bila kupasua.
 
Mie binafsi ninavyopika ni hivi,
Mahitaji
-mihogo
-nyama/maharage
-nyanya
-kitunguu maji kikubwa
-karoti
-pilipili hoho
-pilipili mbuzi
- tui zito la nazi,
-chumvi
-mafuta
maandalizi,
osha vitu vyako vyote kwa maji safi na salama,
-mihogo imenye kisha ikate katika vipande(napendelea vibox)ili iwive haraka.
Njia ya kwanza,
unaweza kuchemsha mihogo na kutia viungo vyote,
AU unaweza kuchemsha mihogo na nyama ikishaiva,unakaanga viungo kisha unatia mihogo na nyama unachanganya,na mwisho unatia nazi,
n.b chumvii ni muhimu kuweka kwenye mihogo wakati unachemsha,
pia kama haupendi ukali wapilipili mbuzi unaweza kuiosha na kuidumbukiza bila kupasua.
hii ftari yangu ya kesho, asante sana, kiukweli muhogo kwangu mwenzie samaki. vp itaenda vizuri?
 
Mie binafsi ninavyopika ni hivi,
Mahitaji
-mihogo
-nyama/maharage
-nyanya
-kitunguu maji kikubwa
-karoti
-pilipili hoho
-pilipili mbuzi
- tui zito la nazi,
-chumvi
-mafuta
maandalizi,
osha vitu vyako vyote kwa maji safi na salama,
-mihogo imenye kisha ikate katika vipande(napendelea vibox)ili iwive haraka.
Njia ya kwanza,
unaweza kuchemsha mihogo na kutia viungo vyote,
AU unaweza kuchemsha mihogo na nyama ikishaiva,unakaanga viungo kisha unatia mihogo na nyama unachanganya,na mwisho unatia nazi,
n.b chumvii ni muhimu kuweka kwenye mihogo wakati unachemsha,
pia kama haupendi ukali wapilipili mbuzi unaweza kuiosha na kuidumbukiza bila kupasua.

Asante ..
 
Back
Top Bottom