Naomba kuingia ndani.

NGANU

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
1,919
Reaction score
393
Kama kuna nafasi humo ndani naomba mnipoke.
 
Last edited by a moderator:
Jumba halijai hili,pita ndani NGANU,kwenye U ungeweka O tungekutafuna.
 
Last edited by a moderator:
Jumba halijai hili,pita ndani NGANU,kwenye U ungeweka O tungekutafuna.
 
Last edited by a moderator:
Songamwile ndo jina nililopewa ko siwezi kubadilisha.
 
Kuna mitaa mingi sana kwenye jamii hii usikose kutembelea Mtaa wa Wajasiriamali, Karibu mgeni wetu, mgeni njoo wenyeji tupate mambo mapya !!
 
mbonekesya baba v,ndomyana nu gwankaja gwakilingo.

Baba V akomigwe iBAN na bhakulumba ba JF, ndomyana na gwankaja gwakilingo ngamanya kuno bhaliko!!!
 
Yaani mi umeniboa kweli na mivilugha yenu, hatutaki ukabila na mauccm yako humu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…