Naomba kuja kuhusu soko la maziwa ya mbuzi

Steven Nguma

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
1,074
Reaction score
1,147
Nawasalimuni kwa jina la Mungu, naomba kuuliza juu ya soko la maziwa ya Mbuzi likoje maana nataka kuanzisha huo ufugaji wa hao Mbuzi wa maziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…