Naomba kujibiwa

Hassani

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
900
Reaction score
1,632
Hivi ni nini maana ya mwanasheria?.Je kuna kiwango cha elimu mtu anatakiwa afikie katika hiyo sheria ili aitwe mwanasheria?,Je watu wote wanaofanya kazi katika field hiyo ya sheria hata kama wana basic certificates ni wanasheria?..Naombeni kufafanuliwa kwa yeyote anayejua hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…