Naomba kujifunza kwa mtu aliendelea katika masuala ya crypto curency

Naomba kujifunza kwa mtu aliendelea katika masuala ya crypto curency

Gee_Investment

New Member
Joined
Feb 19, 2024
Posts
2
Reaction score
6
Habari wadau.

Naomba kujifunza kwa mtu aliendelea katika masuala ya cryptocurence. Mimi ni mfanyabiashara wa p2p binance. Mtaji wangu nj mdogo bado, ni laki tano pekee.

Changamoto niliyokutana nayo ni kukosa mahali pa kununulia crypto kwa bei cheap ili nikiingia kuziuza at least nipate faida kidogo. Mwanzo nilinunua usdt za laki tano nikapiga mahesabu baada ya kuziuza nikajikuta nimepoteza muda tu kwani hakuna nilichokiambulia.

Nikagundua wafanyabiashara kule wananmachimbo yao. Kwa sababu naamini katika JF nikasema nikija huku wataalam wapo watanipa msaada. Naomben kwa mwenye kujua anipe msaada tafadhal
 
Habari wadau.

Naomba kujifunza kwa mtu aliendelea katika masuala ya cryptocurence. Mimi ni mfanyabiashara wa p2p binance. Mtaji wangu nj mdogo bado, ni laki tano pekee.

Changamoto niliyokutana nayo ni kukosa mahali pa kununulia crypto kwa bei cheap ili nikiingia kuziuza at least nipate faida kidogo. Mwanzo nilinunua usdt za laki tano nikapiga mahesabu baada ya kuziuza nikajikuta nimepoteza muda tu kwani hakuna nilichokiambulia.

Nikagundua wafanyabiashara kule wananmachimbo yao. Kwa sababu naamini katika JF nikasema nikija huku wataalam wapo watanipa msaada. Naomben kwa mwenye kujua anipe msaada tafadhal
Tafuta kazi ya kufanya, achana na huo ujinga.
 
Habari wadau.

Naomba kujifunza kwa mtu aliendelea katika masuala ya cryptocurence. Mimi ni mfanyabiashara wa p2p binance. Mtaji wangu nj mdogo bado, ni laki tano pekee.

Changamoto niliyokutana nayo ni kukosa mahali pa kununulia crypto kwa bei cheap ili nikiingia kuziuza at least nipate faida kidogo. Mwanzo nilinunua usdt za laki tano nikapiga mahesabu baada ya kuziuza nikajikuta nimepoteza muda tu kwani hakuna nilichokiambulia.

Nikagundua wafanyabiashara kule wananmachimbo yao. Kwa sababu naamini katika JF nikasema nikija huku wataalam wapo watanipa msaada. Naomben kwa mwenye kujua anipe msaada tafadhal
Njoo katika huu uzi hapa
 
Habari wadau.

Naomba kujifunza kwa mtu aliendelea katika masuala ya cryptocurence. Mimi ni mfanyabiashara wa p2p binance. Mtaji wangu nj mdogo bado, ni laki tano pekee.

Changamoto niliyokutana nayo ni kukosa mahali pa kununulia crypto kwa bei cheap ili nikiingia kuziuza at least nipate faida kidogo. Mwanzo nilinunua usdt za laki tano nikapiga mahesabu baada ya kuziuza nikajikuta nimepoteza muda tu kwani hakuna nilichokiambulia.

Nikagundua wafanyabiashara kule wananmachimbo yao. Kwa sababu naamini katika JF nikasema nikija huku wataalam wapo watanipa msaada. Naomben kwa mwenye kujua anipe msaada tafadhal
Tafuta milion mbili nnjoo utanishukuru sna sna kuliko huo upumbafu unotaka kuufanya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom