Mudie
Member
- Dec 1, 2016
- 6
- 4
Habari..! Naomba kujifunza taratibu za uzabuni.
Kwa mujibu sheria za manuzuzi katika miradi ya serikali mfano vifaa vya ujenzi kutoka kwa wazabuni kwa mfumo wa force account.
Malipo ya nauli ya usafitishaji vifaa yanajumuisha kwa mzabuni kwenye quotation yake? Au analipwaje gharama za usafiri wa mzigo kuleta site? Asante.
Kwa mujibu sheria za manuzuzi katika miradi ya serikali mfano vifaa vya ujenzi kutoka kwa wazabuni kwa mfumo wa force account.
Malipo ya nauli ya usafitishaji vifaa yanajumuisha kwa mzabuni kwenye quotation yake? Au analipwaje gharama za usafiri wa mzigo kuleta site? Asante.