Nawasalimia wadau wote wa JF.Mimi nimdau mpya wa jamvi hili nikiwa Kigoma huku tulipovamiwa na majangiri na mafisadi.Naomba ushirikiano wenu ktk kufanikisha kupeana habari zenye tija kwa taifa hili la watanzania tuliokata tamaa!.Naomba kuwasilisha
Mbona ulishakaribishwa zamani waeleze na wenzako wajiunge wapate maujanja maisha.
Hapa huwa zinaibuliwa hoja na tena tunaendeleza pale wengine walipoishia. Yaani upande wa pili wa habari kwaundani zaidi.