Hudumapoa.blogspot
Member
- Apr 3, 2013
- 73
- 11
Habarini wadau wa elimu, Naomba kujua ada pamoja na gharama nyingine zinazotakiwa kulipwa kwa mwaka kwa ajili ya kusomea diploma ya ualimu katika vyuo vya serikali. Natanguliza shukrani kwa mchanganuo mzuri wa gharama zote kwa miaka miwili ya diploma.
Ada ni shilingi laki mbili kwa mwaka hiyo ni ada pamoja na chakula na malazi lakini kuna michango mingine utaikuta chuoni na itategemeana na chuo ulicho pangiwa na michango yake maana inatofautiana pia na ziada kwaajili ya matumizi yako binafsi.
hili ni jibu zuri xan......ila kwa michango haizidi laki moja na nusu kwa mwaka, exprienced kwa mpwapwa tc
Habarini wadau wa elimu, Naomba kujua ada pamoja na gharama nyingine zinazotakiwa kulipwa kwa mwaka kwa ajili ya kusomea diploma ya ualimu katika vyuo vya serikali. Natanguliza shukrani kwa mchanganuo mzuri wa gharama zote kwa miaka miwili ya diploma.
laki nzima imeongezeka au ndo ya kufidia watakao someshwa bureAda imepanda kuanzia mwaka mpya wa masomo unaoanza julay ni 300,000/= kwa ngaz ya chet na diploma kwa vyuo vya serikal.
laki nzima imeongezeka au ndo ya kufidia watakao someshwa bure