BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,248
Wakuu kwema humu?
Naomba kujua aina zote za engine za magari na tabia zake.
Mfano gx 100 mara 3l, mara 2R sijui nini yani natamani sana kujua wakuu.
Wekeni tu nyingi iwezekanavyo tupate shule.
Mbarikiwe sana.
Naomba kujua aina zote za engine za magari na tabia zake.
Mfano gx 100 mara 3l, mara 2R sijui nini yani natamani sana kujua wakuu.
Wekeni tu nyingi iwezekanavyo tupate shule.
Mbarikiwe sana.