Naomba kujua alipo Sauda Mwilima

Mi naulizia mzee Albert Nitwa alikuwa akisoma habari pale ITV miaka ya 2013 kwa utulivu kabisa.
Dah huyu mzee Mnyiramba wa Kinampanda sijui kaenda wapi..kaka yake Ivone Msemembo kama sikosei.
 
Mm Nataka kujua alipo Rebecca mwilesi wa RFA na Agnes Robinson(mototo wa mama sabuni) nae pia alikuwa pale RFA.
 
Kwaivo we ulikuwa na gari aina gani na fatma yake ilikuwa aiana gan, mlipaki pembeni au apo apo katikati ya barabara, ilo povu lilikuwa na sabuni gani, ariel, ckleesoft au omo au tufanye toss
Hahahha[emoji1]
 
Hallo wana jf, yule mdada Nilimmandi kidizain alivokuwa star TV.
Sahiv yupo wap,? Kaacha utangazaji? Family anayo?
Atakuwa yupo BBC swahili au DW. Kuna uwezekano pia wakuwepo CCN Swahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…