Naomba kujua alipo yule mtangazaji mahiri Ben Kiko?

Naomba kujua alipo yule mtangazaji mahiri Ben Kiko?

grafani11

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2011
Posts
15,441
Reaction score
5,816
Nikiwa kama mdau mkubwa wa sekta ya habari, kwa kipindi kirefu nimekosa ladha ya kipekee ya mtangazaji mahiri na ripota mahiri TanzaniaBen Kiko. Kwa anayejua alipo anifahamishe tafadhali.
 
Alikuwa Tabora kama mkurugenzi wa radio moja ijiitayo Vioce Of Tabora. Sina hakika kama bado yupo hapo.
 
Mara ya mwisho alikua Kigoma kama miaka8 iliyopita.
Huyu jamaa namkumbuka hasa ninapokua nafatilia story ya vita ya kagera yeye akiwa reporter vitani mpaka ikapelekea kuondolewa vitani na kurudishwa mwanza.
 
mpaka sasa yupo tabora kama mtangazaji na mtayalishaji wa vipindi katika redio ya RAGE iitwayo VOT FM.....VOICE OF TABORA
 
Mara ya mwisho alikua Kigoma kama miaka8 iliyopita.
Huyu jamaa namkumbuka hasa ninapokua nafatilia story ya vita ya kagera yeye akiwa reporter vitani mpaka ikapelekea kuondolewa vitani na kurudishwa mwanza.

Hebu tupe kidogo sababu za kurudishwa
 
Umenikumbusha mbali aisee, huyu jamaa alipaswa awe anamiliki radio yake sasa hivi na siyo kuajiriwa na Rage. Alikuwa ni ripota mzuri sana mwenye mbwembwe na sauti ya kupendeza.
 
..Si Kweli. Habari zake kutoka Vitani hazikuwa zinarushwa Moja kwa Moja. Zilikuwa zinahaririwa kwanza kabla ya kurushwa hewani.
 
Amebadili Masau Bwile ripota wa Wapo redio kwa mbwembwe na vionjo vya utakangazaji.
 
Back
Top Bottom