Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ambazo zinakuwa ndani ya sehemu ya bafu na choo so hiyo inatenganisha sehemu lilipo sinki la choo na sehemu ya shower,Hivi hii inakuwa observed moja Kwa moja tokea kwenye kitanda au inakuwa part ya self? daah kama unamkubali mama watoto inabidi ikae wazi tu yaani unamchorea Kwa mbali tokea kwa bed akiwa anaoga
Mkuu Kwa SQM utaumia labda tu iwe kazi ya office,Wakuu nilikuwa naomba kujua gharama za frameless glass doors kwa sqm.
Mfano wake hizi za bafuni
View attachment 2438982
Mkuu kumbe hivi ni 10 au 12 mm sasa nmeelewa kwanini vinatofautiana na vile 4mm na 5mm vinavyotumika kwenye aluminium windows.Mkuu Kwa SQM utaumia labda tu iwe kazi ya office,
Fundi achukue vipimo ambavyo ni width na height then vipelekwe kuchomwa(10mm or 12mm glass) apige hesabu ya accessories zake hizo Pivot, center Lock,na hzo Top patch na Bottom patch bila kusahau Hinges
Mwishoni upewe labour charges
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nimejifunza kitu...Mkuu Kwa SQM utaumia labda tu iwe kazi ya office,
Fundi achukue vipimo ambavyo ni width na height then vipelekwe kuchomwa(10mm or 12mm glass) apige hesabu ya accessories zake hizo Pivot, center Lock,na hzo Top patch na Bottom patch bila kusahau Hinges
Mwishoni upewe labour charges
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Naam umejibu vizuri.Kuna ambazo zinakuwa ndani ya sehemu ya bafu na choo so hyo inatenganisha sehemu lilipo sinki la choo na sehemu ya shower,
Pia kama iko chumbani hizo glass unaweza weka zile zinakuwa na ukungu hovyo huoni ndan
duh, kumbe unakaa buchani kabisa huko ? hulali na nyegeKigamboni
Hahaha ulijuaje mzee baba siku hiyo nilikuwa na shoo kipande ile baada ya kuogelea sana na mtoto tukachukua room paleduh, kumbe unakaa buchani kabisa huko ? hulali na nyege
😀mzee uko nje ya mada ya OP😀Hahaha ulijuaje mzee baba siku hiyo nilikuwa na shoo kipande ile baada ya kuogelea sana na mtoto tukachukua room pale
😅 MMU ishatuharibu anisamehe mleta uzi🙏😀mzee uko nje ya mada ya OP😀
Duh nimewaza ndio umeingia na mchepuko mambo ya kupiga mchana jioni unarudi home halafu unakatwa na kioo hoteliNa hizo upate fundi anayejua kuvifunga vizuri kwa vipimo sahihi. Ukimpa hiyo kazi fundi Maiko hicho kioo kinaweza kumwagika na kumuumiza mtu au kumuua mtu. Kilinikosakosa pale hotel ya Sunrise Kigamboni. Shida ilikuwa ni vipimo katika ufungaji
Utaenda kumwambia nini mkeo. Nikawa najisemea hiki kioo kingemkata na kumuumiza vibaya mtoto wa wa watu ningejielezaje wakanielewaDuh nimewaza ndio umeingia na mchepuko mambo ya kupiga mchana jioni unarudi home halafu unakatwa na kioo hoteli
Acha kabisaUtaenda kumwambia nini mkeo. Nikawa najisemea hiki kioo kingemkata na kumuumiza vibaya mtoto wa wa watu ningejielezaje wakanielewa
Tatizo kwenye kunya. Ni kwenye kunya tu hakuna malavidavi (romance)Hv hii inakuwa observed moja Kwa moja tokea kwenye kitanda au inakuwa part ya self? , daah kama unamkubali mama watoto inabd ikae waz tuu yaan unamchorea Kwa mbal tokea Kwa bed akiwa anaoga
Oa WEWEEduh, kumbe unakaa buchani kabisa huko ? hulali na nyege
ili iweje ?Oa WEWEE