Kitambazi Abdul
Member
- Aug 8, 2017
- 72
- 84
Boxer bm 150 kwa dodoma ni 2.4 mil pamoja na usjili,nimenunua Jana so kwa dar I hope itakua cheap kidogoHabari wanajukwaa, Naomba Kusaidiwa Bei ya Pikipiki aina ya BOXER au TVS kwa Bei ya dukani hasa kwa Agents wao.
Nilitaka kuingia Kariakoo nikaambiwa huwa Wanachakachua Engine nikinunua itanisumbua ni bora Niende kwa Agents...
Ushauri na Maelezo Tafadhali naomba msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi nilulizia bei nikambiwa 2.5Boxer bm 150 kwa dodoma ni 2.4 mil pamoja na usjili,nimenunua Jana so kwa dar I hope itakua cheap kidogo
boxer ug150 bei 2.3 na x150 ni 2.45Habari wanajukwaa, Naomba Kusaidiwa Bei ya Pikipiki aina ya BOXER au TVS kwa Bei ya dukani hasa kwa Agents wao.
Nilitaka kuingia Kariakoo nikaambiwa huwa Wanachakachua Engine nikinunua itanisumbua ni bora Niende kwa Agents...
Ushauri na Maelezo Tafadhali naomba msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app