Naomba kujua dawa nzuri ya kutibu kidonda cha mbuzi

Chililo

Senior Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
150
Reaction score
114
Mbuzi wangu anasumbuliwa na kidonda kikubwa sehemu ya tumbo. Kina wiki sasa. Mara ya mwisho alikuja daktari akamsafisha na hydrogen peroxide, akamshona na kuacha sehemu wazi ya kupitisha hewa..kisha akamchoma sindano ya antibiotic na kuacha dawa moja ya kuspray....lakini hadi leo ni wiki moja imeisha sioni dalili ya jeraha kukauka.

Japo mbuzi anakula. Lakini akikaa lile jeraha linatoa mlio katika sehemu iliyowazi kama hewa inayopita. Naumia sana sababu nampenda mbuzi wangu.

Naomba msaada ipi ni dawa nzuri ya kumsaidia.
 
Mbadilishe awe kama jina lako
 
Ndugu pole sana kwa msaada wa haraka ungemwita tena vet aje kumcheki naamini kabisa hapo ni vet tu ndio atakuwa suluhisho kwa mfugo huyo. Upo mkoa gani?
 
UKIITAJI KITABU CHA UFUGAJI BORA WA MBUZI WASILIANA NASI 0657420067 AU 0688468809
HARDCOPY SH 10000
SOFTCOPY SH 5000 UNATUMIWA KWA EMAIL AU WHATSAPP
BY
FRANK E MGINA
0657420067
Face book Acccount Mgina Agri Business(jaribu kuwatafuta hao labda watakusaidia na mengine zaidi na au kukupa ushauri wa nini chakufanya)
 
Tuna shukuru sana kwa ushirikiano wenu huu je na mbegu nzuri kwaajili ya ufugaji mnao?
 
Akaacha sehemu ya kupitisha hewa !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…