Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 402
Msisahau pia kuwa alikuwa fellow member wa kumbi za DDC Magomeni Kondoa na DDC Kariakooyuko kenye red lines kwa standard za sasa, yaani kacheza sana na C na sup kibao, ..he is not hardworker huyu mtu hawezi kusoma documents. Baada ya kumaliza chuo akaenda TANU kuanza kugawa kadi za wanachama! since then....
Reasons za kufeli: muda mwingi alikuwa anajihusisha na harakati za kiislamu (hapa sio udini, kuna wakristo wengi wamefeli kwa kupoteza muda kwenye dini) Kikwete was one of them kila kongamano la kidini , ndani na nje alikuwemo!!!! ni mtu ambaye ana utukuza uislamu wenye siasa kali! brotherhood, hivi ndivyo alivyo
Alikuwa na Gentleman degree which means ni less than 2.0. Alisoma udsm economics na alikuwepo kwenye list ya vilaza
GPA haisadii kitu, mbona wapo wenye GPA kubwa ni vibonde tu, kadhalika wenye GPA ndogo watendaji wazuri. GPA ya JK ya mwaka 1975 itakusaidinia nini leo kujua uwezo wa JK. Mimi naona kwa elimu yake JK inamtosha kabisa na anafit kama kuna matatizo mengine sio kwasababu ya elimu yake au GPA yake bali ni limfumo zima lililooza linalokufanya wewe muda huu uwe unaposti threads hapa badala ya kufanya kazi. Je utovu huo wako wa nidhamu unasababishwa na GPA ya JK?
Ebo!!!!! tuwe na staha ngaa kidogo
Ukiwa kilaza unaendelea for life!! huwa hauishi kama upele!!!
Mkuu huwezi ufanyia maboresho!?
Safi sana. Unajua humu jamvini tupo kama figure tu. hivi yeye anayeuliza maswali ya gpa ana elimu gani labda mpaka aulize swali kama hilo.miafrika mijinga utaiona. inaulizia gpa kama vile gpa ndio inafanya kazi. mrema hakuwa na gpa lakini kazi alifanya. sokoine hivyo hivyo. gpa kama zinafanya kazi mbona vyuo vyetu hovyo!
vp na wewe gentle nini mbona unahasila sana!miafrika mijinga utaiona. inaulizia gpa kama vile gpa ndio inafanya kazi. mrema hakuwa na gpa lakini kazi alifanya. sokoine hivyo hivyo. gpa kama zinafanya kazi mbona vyuo vyetu hovyo!
Ana GPA ya 2.1 BA (Economics)
mabolesho labda ndo hayo ya dr tano!Mkuu huwezi ufanyia maboresho!?
GPA haisadii kitu, mbona wapo wenye GPA kubwa ni vibonde tu, kadhalika wenye GPA ndogo watendaji wazuri. GPA ya JK ya mwaka 1975 itakusaidinia nini leo kujua uwezo wa JK. Mimi naona kwa elimu yake JK inamtosha kabisa na anafit kama kuna matatizo mengine sio kwasababu ya elimu yake au GPA yake bali ni limfumo zima lililooza linalokufanya wewe muda huu uwe unaposti threads hapa badala ya kufanya kazi. Je utovu huo wako wa nidhamu unasababishwa na GPA ya JK?
Ebo!!!!! tuwe na staha ngaa kidogo
Ogopa sana mtu anayetaka kujua GPA za wenzake. Huyu mtu lazima alisoma kwa shida sana, halafu hajalipa mkopo wake uliomuwezesha kusoma ili wengine nao wasome. Nchi hii inaweza kuongozwa na mkulima maana wasomi wote wameshindwa kutufikisha tunakotaka kuanzia Baba wa Taifa. Kifupi Elimu inakupa ufahamu ziada tu katika maisha yako na majukumu utakayopewa na jamii kabla hujafa! Acha Ushomire wako hapa hausaidi nchi hii. Tunamadaktari na maprofessa kibao lakini tuko chini zaidi ya Rwanda ya juzi tu! na South Sudan inakuja sasa tutabaki mkiani siku zote sababu ya watu kama wewe.
Jamani nimekuwa najiuliza sana juu ya uwezo wa Kikwete kuongoza nchi. Inakuwaje Rais mzima anashindwa kufikiri kama vile hajaenda shule? Nimesoma kwamba ana elimu ya Chuo Kikuu, lakini mbona haelekei kama ni Rais mwenye elimu ya ngazi hiyo?
Kama kweli alienda shule na ana shahada ya Chuo Kikuu naomba niambieni kiwango chake cha ufaulu (GPA) wa hiyo shahada yake, maana inavyoonekana wapo wanaojua uwezo wake wa kufikiri ndio maana wanamfanyia madudu wakijua hataweza kufikiri kwa 'level' ya kujua kuwa anachezewa shere.
Naomba na za watoto wake maana kwa style CCM isije na watoto wake wakawa kama Baba yao. Ni muhimu wasije wakapewa uongozi ikawa tunaendeleza ule usemi 'like father like child'.
Nisaidieni jamani, maana siamini kuwa Kikwete ameenda shule!!!!!!!!
Ebwanae, ningekuwa karibu na ww ningekushika mkono badala ya kukupigia makofi. Hivi hawa watu wanaweza kufananisha degree ya 1975 na hizi wanazozichakachua siku hizi hadi wasiweze hata kufikiri na badala yake wanabaki kuropoka. Siku moja nikaona COMEDI ya masanja wanasema siku hizi wanafunzi wanajua kingereza cha tuition kuliko anachotakiwa kujua. is true:clap2:
Confirmed he scored a total of 2.1 GPA
Jamani nimekuwa najiuliza sana juu ya uwezo wa Kikwete kuongoza nchi. Inakuwaje Rais mzima anashindwa kufikiri kama vile hajaenda shule? Nimesoma kwamba ana elimu ya Chuo Kikuu, lakini mbona haelekei kama ni Rais mwenye elimu ya ngazi hiyo?
Kama kweli alienda shule na ana shahada ya Chuo Kikuu naomba niambieni kiwango chake cha ufaulu (GPA) wa hiyo shahada yake, maana inavyoonekana wapo wanaojua uwezo wake wa kufikiri ndio maana wanamfanyia madudu wakijua hataweza kufikiri kwa 'level' ya kujua kuwa anachezewa shere.
Naomba na za watoto wake maana kwa style CCM isije na watoto wake wakawa kama Baba yao. Ni muhimu wasije wakapewa uongozi ikawa tunaendeleza ule usemi 'like father like child'.
Nisaidieni jamani, maana siamini kuwa Kikwete ameenda shule!!!!!!!!