je parle JF-Expert Member Joined Nov 28, 2018 Posts 2,022 Reaction score 3,919 Dec 14, 2019 #1 Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana ninayesaka fursa kutoka mkoa wowote ule ili mkono uende kinywani. Nimekuja kwenu leo kuuliza fursa zinazopatikana Mbeya ili niweze kuziendea. Naombeni ushirikiano wenu watu wa Mbeya au mtu yeyote aliye na fursa ambayo tutaweza kufanya kwa pamoja na kutusua katika maisha haya ya awamu hii. Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana ninayesaka fursa kutoka mkoa wowote ule ili mkono uende kinywani. Nimekuja kwenu leo kuuliza fursa zinazopatikana Mbeya ili niweze kuziendea. Naombeni ushirikiano wenu watu wa Mbeya au mtu yeyote aliye na fursa ambayo tutaweza kufanya kwa pamoja na kutusua katika maisha haya ya awamu hii. Sent using Jamii Forums mobile app
The Sunk Cost Fallacy JF-Expert Member Joined Dec 1, 2021 Posts 19,582 Reaction score 14,167 Jun 17, 2022 #2 Fursa ziko nyingi sana hasa biashara na kilimo maeneo mbalimbali
monopoly inc JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 5,256 Reaction score 11,377 Jun 17, 2022 #3 Una mtaji bei gani? Na plan yako ilikuwa ni ipi? Upo wapi now? Kabla ulikuwa unafanya busness gani?