Naomba kujua Gerage bora kwa gari aina ya Dualis

Naomba kujua Gerage bora kwa gari aina ya Dualis

ndugufred

Senior Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
137
Reaction score
44
Natamani namiliki Nissan Dualis pamoja na vitisho vyooote kwamba ntateseka kununua gari nje ya Toyota.Kama title inavojieleza,naomba yafuatayo:

1. Anayejua anielekeze wapi kuna garage ambako wamebobea kwenye aina hii ya gari.Namaanisha yenye mafundi ambao hawabahatishi.

2.Pili info za wapi zinapatikana spare zake kwa hapa Dar zitanifaa sana.

3.Inasemekana hizi gari ulizembea service lazima ikuzingue,kama kuna mtu ana experience zaidi si vibaya akashare nami.

Nawakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo serious kabisa unauliza hili swali?Kuna gari ambazo ni nyingi hapa mjini,mafundi wengi wanazimudu.Mi nimeishi na Toyota IST miaka 5.Sijawahi peleka Toyota wala garage yeyote serious,na kila shida ilikuwa inatatuliwa vzr tu na mafundi wa kawaida kitaa.Ila huwez ukanambia umenunua Tourage au sijui Audi halafu unaipeleka tu mafundi wa mtaani,anaweza akajifunzia kwenye gari yako and I don't think you can take that risk.
Hivi kuna garage special kwa ajili ya gari Fulani tu?
Kama ni hivyo basi nadhani pia kutakuwa na garage special kwa ajili ya ist tu peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo serious kabisa unauliza hili swali?Kuna gari ambazo ni nyingi hapa mjini,mafundi wengi wanazimudu.Mi nimeishi na Toyota IST miaka 5.Sijawahi peleka Toyota wala garage yeyote serious,na kila shida ilikuwa inatatuliwa vzr tu na mafundi wa kawaida kitaa.Ila huwez ukanambia umenunua Tourage au sijui Audi halafu unaipeleka tu mafundi wa mtaani,anaweza akajifunzia kwenye gari yako and I don't think you can take that risk.

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay sasa hebu nioneshe gereji special kwa ajili ya Nissan dualis au QashQai
 
We utakuwa unapenda ligi aisee.Mi sijui si maana ya hii post sasa au?Kwenye hiyo garage most likely watakuwa wanafanya magari mengine..lakin sio kwamba kila garage hata za mtaani wanafanya kila gari kwa usahihi.Huelewi nn sasa hapo bro?Waliotangulia kuwa na gari aina hii,au XTrail wanaweza wakawa wanajua ndio maana nikaomba msaada.Haimaanishi kuna garage tu ipo inadeal na Dualis basi peke yake.
Okay sasa hebu nioneshe gereji special kwa ajili ya Nissan dualis au QashQai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye nimejipata namiliki Nissan Dualis pamoja na vitisho vyooote kwamba ntateseka kununua gari nje ya Toyota.Kama title inavojieleza,naomba yafuatayo:
1. Anayejua anielekeze wapi kuna garage ambako wamebobea kwenye aina hii ya gari.Namaanisha yenye mafundi ambao hawabahatishi.
2.Pili info za wapi zinapatikana spare zake kwa hapa Dar zitanifaa sana.
3.Inasemekana hizi gari ulizembea service lazima ikuzingue,kama kuna mtu ana experience zaidi si vibaya akashare nami.
Nawakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu fundi alikuwa anafanya kazi pale nissan, banda la ngozi, kabla ya kufungua garage yake mitaa ya KKKT kigogo.

Kwa kweli yupo vizuri sema ana bei kubwa ya labour charge. Huwa anafahamu kila spea inapopatikana, lakini niliona kama anakula cha juu. Kikubwa nenda wewe mwenyewe kununua spea.

0755 109 405

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iv Nissan hawana brunch tz kama toyota?

Nb; kununua nyumba ata kabla hujaamia unamtafuta fundi basi kuna tatizo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Brunch????👁️👁️

Brunch is a combination of breakfast and lunch, and regularly has some form of alcoholic drink served with it. The word is a portmanteau of breakfast and lunch
 
Master Card wana spea original za Nissan, lakini sio bei rahisi. Lakini pia inategemea na neno 'bei rahisi' kwako ni shs ngapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote bei ya kifaa genuine ni ghali na hii inakuja kutokana na kasumba ya kuzoea vitu vya mchina hivyo hata ukitajiwa kifaa laki 2 na wewe umezoea cha mchina elf 50 still bado utasema ghali lakn kumbuka genuine inaweza kukaa zaidi ya miaka 5 na mchina akakaa kwa mwaka na ukabadili kila mwaka? Je ipi yenye faida kuweka genuine au mchina?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa
Siku zote bei ya kifaa genuine ni ghali na hii inakuja kutokana na kasumba ya kuzoea vitu vya mchina hivyo hata ukitajiwa kifaa laki 2 na wewe umezoea cha mchina elf 50 still bado utasema ghali lakn kumbuka genuine inaweza kukaa zaidi ya miaka 5 na mchina akakaa kwa mwaka na ukabadili kila mwaka? Je ipi yenye faida kuweka genuine au mchina?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba kujua FUEL CONSUMPTION ya NISSAN DUALIS!
Hatimaye nimejipata namiliki Nissan Dualis pamoja na vitisho vyooote kwamba ntateseka kununua gari nje ya Toyota.Kama title inavojieleza,naomba yafuatayo:
1. Anayejua anielekeze wapi kuna garage ambako wamebobea kwenye aina hii ya gari.Namaanisha yenye mafundi ambao hawabahatishi.
2.Pili info za wapi zinapatikana spare zake kwa hapa Dar zitanifaa sana.
3.Inasemekana hizi gari ulizembea service lazima ikuzingue,kama kuna mtu ana experience zaidi si vibaya akashare nami.
Nawakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ndiyo jf...utacheka....utakwazika na utajifunza pia...

Nadhani muuliza swali alimaanisha BRANCH...

NISSAN TANZANIA IPO...atafute ofisi zao hata kwa kugoogle..
Brunch????[emoji2539][emoji2539]

Brunch is a combination of breakfast and lunch, and regularly has some form of alcoholic drink served with it. The word is a portmanteau of breakfast and lunch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom