Cha kwanzani kuwa na WAZO na maoni ya kuanzisha kitu hiki. Hapa unaonekana umepatia. Pili unatakiwa kuwa na pesa kiasi fulani kwa ajili ya establishment. Nafasi yakuweka kituo: nafasi, jengo,n.k. Unahitaji kuwa na utaalamu wewemwenyewe au waliosomea. Unataka kuanza na vifaa vichache: Video camera, computer kwa ajili ya editing na kutengeneza vipindi, pamoja na TV transmitter. Lakini unahitji kuwa na masafaa ambapo hapo unahitaji kuwafikia waratibu mawasiliano kitaifa: ambao ni Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania.
Kusema kweli, hatua ya kwanza baada ya kupata wazo, nenda Mawasiliano Towers karibu na Mlimiani City pale Sinza. Uliia ofisi za wanaohusika na TV broadcastaing watakupa msaada wowote unaohitaji tena bila gharama yeyote!!