Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Someshesheni watoto wawe wafamasia na madokta na mainjinia.Wakuu habari za mida? mze wangu anataka kufungua pharmacy tulikuwa tuna omba kujua utaribu wa kufungua pharmacy ! Pia gharama za kumlipa pharmasia kwa mwezi kwajili ya kuweka leseni yake dukani my no 0719656063
Pharmacist wengi sana unaweza mlipa 800k Hadi 1m per monthBoss hiyo milioni kwa mwenzi au kwa mwaka mzima unapo tumia leseni yake
Pharmacist wengi sana unaweza mlipa 800k Hadi 1m per month
Kweli,kunahaja ya kufanya hivyo hasa ukiwa na plan km hiyoSomeshesheni watoto wawe wafamasia na madokta na mainjinia.
Kwa mwaka tena boss? Hio ni monthly!!!!Boss hiyo milioni kwa mwenzi au kwa mwaka mzima unapo tumia leseni yake
Sio upuuzi Wacha watu wapige elaUpuuzi huu wa vyeti utaisha soon
Inatuumiza wamilikiSio upuuzi Wacha watu wapige ela
Hakuna mtu muongo kama weweKwa mwezi leseni yake sio chini ya M 1 hamna hamna weka 800k then mshahara wake nao cheza humo humo kwa kwezi 750k - 1 M tena NET
So on average cheza kwa 1.5 - 2M
Kaka samahani naomba unisaidie mawasililiano yako nina kitu cha muhimu sana nataka kuzungumza na wwInatuumiza wamiliki