Acha kumpotosha mwenzio,nyie ndio wale ilimradi ukuta uwe mweupe.Juzi wamenikomalia chumba kimoja 70000 nikashuka naye hadi laki mbili na ishirini maana nilimpa nyumba yote na kufunga gypsum vyumba 2 na choo na valanda, sema plasta nilitumia mchanga wa mtoni sijachanganya na kibaha so white cement imekula sana kuja kushtuka fundi akasema nunua rangi ya maji lita 10 na cement mfuko 1 basi akamalizia chumba kimoja na kopro madirisha 8 na bado rangi imebaki na cement pia, ukipata fundi mzuri nunua rangi na cement itakaa poa kuliko white cement mfuko mmoja 23000 mimi nilitumia mifuko saba na haijatoboza
Acha uongo! Tatizo lenu ni Waongo sana kutwa kufanganyana! Ndoo moja ya Rangi white na mfuko mmoja wa cement umepaja chumba kimoja na imebaki??? Kwanza hiyo sio kaz ni uchafu!Juzi wamenikomalia chumba kimoja 70000 nikashuka naye hadi laki mbili na ishirini maana nilimpa nyumba yote na kufunga gypsum vyumba 2 na choo na valanda, sema plasta nilitumia mchanga wa mtoni sijachanganya na kibaha so white cement imekula sana kuja kushtuka fundi akasema nunua rangi ya maji lita 10 na cement mfuko 1 basi akamalizia chumba kimoja na kopro madirisha 8 na bado rangi imebaki na cement pia, ukipata fundi mzuri nunua rangi na cement itakaa poa kuliko white cement mfuko mmoja 23000 mimi nilitumia mifuko saba na haijatoboza
Nilidhani ujenzi kumbe nivitu vingine hapo sijuiJuzi wamenikomalia chumba kimoja 70000 nikashuka naye hadi laki mbili na ishirini maana nilimpa nyumba yote na kufunga gypsum vyumba 2 na choo na valanda, sema plasta nilitumia mchanga wa mtoni sijachanganya na kibaha so white cement imekula sana kuja kushtuka fundi akasema nunua rangi ya maji lita 10 na cement mfuko 1 basi akamalizia chumba kimoja na kopro madirisha 8 na bado rangi imebaki na cement pia, ukipata fundi mzuri nunua rangi na cement itakaa poa kuliko white cement mfuko mmoja 23000 mimi nilitumia mifuko saba na haijatoboza
Kweli UlizaniajeAcha uongo! Tatizo lenu ni Waongo sana kutwa kufanganyana! Ndoo moja ya Rangi white na mfuko mmoja wa cement umepaja chumba kimoja na imebaki??? Kwanza hiyo sio kaz ni uchafu!
Ujenzi hauhitaji kona kona mkuuKweli Ulizaniaje
Ndioo knilidhani nikubuild chumba kimoja nikisikia Kwa mafundi walisema ni 70 thousand na choo ndani .Ujenzi hauhitaji kona kona mkuu
Chumba kimoja kama unaskim Ukuta na body utagharamia Tsh 70000 kama unaskim ukuta pekee utagharamia elfu 50Habari za muda ndugu zangu natumai mnaendelea vzr katika kupigania pato la taifa
Naomba kujua gharama za kuskimm chumba kimoja tu kwa ndani...tafadhar nataka niandae bajet yng,,natanguliza shukran za dhat kwa kila atakaejitokeza kunielewesha...Nawasilisha kwenu[emoji120]
Elfu 70 ndio bei Ya skimmng kwa chumba kimoja na body yake! Ikiwa haina body ni Elfu 50Ndioo knilidhani nikubuild chumba kimoja nikisikia Kwa mafundi walisema ni 70 thousand na choo ndani .
Ila sijui Kwa sasa
ENilidhani ujenzi kumbe nivitu vingine hapo sijui
KabisaAcha uongo! Tatizo lenu ni Waongo sana kutwa kufanganyana! Ndoo moja ya Rangi white na mfuko mmoja wa cement umepaja chumba kimoja na imebaki??? Kwanza hiyo sio kaz ni uchafu!
Muongo sanaKweli Ulizaniaje
Acha uongo! Tatizo lenu ni Waongo sana kutwa kudanganyana! Ndoo moja ya Rangi white na mfuko mmoja wa cement umepiga chumba kimoja na imebaki??? Kwanza hiyo sio kaz ni uchafu!
Utafia nyumba ya kupanga ukipigia mahesabu ya kisasaUjenzi hauhitaji kona kona mkuu
Wewe ndio mkweliMuongo sana
Utafia nyumba ya kupanga ukipigia mahesabu ya kisasa
Njoo PM nikupe kazi ya Ku skim mkuuElfu 70 ndio bei Ya skimmng kwa chumba kimoja na body yake! Ikiwa haina body ni Elfu 50