Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Heshima kwenu wote!
Naomba kujua gharama za kutangaza (tangazo dogo) kwenye gazeti la Serikali kama mahakama ulivyotaka.
Gharama zipo na kiasi gani?
Nani anayepokea tangazo naomba mawasiliano yake/yao.
Asanteni sana.
Naomba kujua gharama za kutangaza (tangazo dogo) kwenye gazeti la Serikali kama mahakama ulivyotaka.
Gharama zipo na kiasi gani?
Nani anayepokea tangazo naomba mawasiliano yake/yao.
Asanteni sana.