Naomba kujua gharama za kutangaza (tangazo dogo) kwenye gazeti la Serikali

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,273
Reaction score
13,567
Heshima kwenu wote!

Naomba kujua gharama za kutangaza (tangazo dogo) kwenye gazeti la Serikali kama mahakama ulivyotaka.
Gharama zipo na kiasi gani?

Nani anayepokea tangazo naomba mawasiliano yake/yao.

Asanteni sana.
 
Heshima kwenu wote!

Naomba kujua gharama za kutangaza (tangazo dogo) kwenye gazeti la Serikali kama mahakama ulivyotaka.
Gharama zipo na kiasi gani?

Nani anayepokea tangazo naomba mawasiliano yake/yao.

Asanteni sana.
Tshs 65,000 ama 100,000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…