Milioni 7900000 kwa ajili ya bajaji ngapi? Hivi tuna tatizo la uandishi kwa kiwango hiki?Andaa mil 7900000 inaingia barabaran na kuanza kula 20 kila siku baada ya miezi minne hadi 6 unaanza kula 15 kila siku
Ukiona mtu anaandika idadi ya fedha zaidi ya 999 bila kutenganisha na koma, jua mahesabu kwake yamempiga chenga!Milioni 7900000 kwa ajili ya bajaji ngapi? Hivi tuna tatizo la uandishi wa kwa kiwango hiki?
shauwkan,
Andaa mil 7900000 inaingia barabaran na kuanza kula 20 kila siku baada ya miezi minne hadi 6 unaanza kula 15 kila siku.
Mzeee hiyi huoni km ni mil 7 na laki tisa????umeshindwa hata ku reflect na thamani ya kitu husikaMilioni 7900000 kwa ajili ya bajaji ngapi? Hivi tuna tatizo la uandishi kwa kiwango hiki?
Umekariri mjombaUkiona mtu anaandika idadi ya fedha zaidi ya 999 bila kutenganisha na koma, jua mahesabu kwake yamempiga chenga!
7900000 7,900,000
Kwa uelewa wako hapo umeandika mil 7 na laki tisa?Mzeee hiyi huoni km ni mil 7 na laki tisa????umeshindwa hata ku reflect na thamani ya kitu husika
1.000 hii ni bei gani??? Iandike kwa manenoKwa uelewa wako hapo umeandika mil 7 na laki tisa?
Yan ni sawa na kusema elfu 1,000. Ni sawa?
Moja1.000 hii ni bei gani??? Iandike kwa maneno
Kubali ulikosea. Pia siyo kila tarakimu ni bei.1.000 hii ni bei gani??? Iandike kwa maneno
Jamaa hajui halafu anajifanya mjuaji!Kubali ulikosea. Pia siyo kila tarakimu ni bei.
Hiyo uliyoandika ni Moja kwa maneno.
Wabongo mnakariri sana wanangu oyah achana na mm nina banda la hesabuKubali ulikosea. Pia siyo kila tarakimu ni bei.
Hiyo uliyoandika ni Moja kwa maneno.