Naomba kujua hatua za biashara ya kupeleka nafaka Zanzibar

Naomba kujua hatua za biashara ya kupeleka nafaka Zanzibar

Nasubiri
JamiiForums-819730547.jpg
 
Bora ukutane na mzenji mwenyewe muuzie hapo hapo. zaidi ya hapo utaishia kuzimia tu.

Hawa bwana wanataka wakauze wenyewe sio wewe
 
Zanzibar wapo busy na urojo wewe unapeka nafaka!?[emoji276]kweli Dunia ina maajabu mengi
 
Views 365 na comment ni 12 tu, sio ubinafsi kweli!!!? Watu wote 365 hakuna hata m1 wa kuleta details!? Tumekaaga tu tunasubiri
 
Back
Top Bottom