muta ngegi
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 167
- 129
Habarini Wanajf!
Bila kupoteza muda naomba mwenye uelewa wa hatua za kufuata ili kupata mkopo wa biashara katika Benki ya NMB.Mimi ni mjasiriamali,ninataka nikope ili niongeze Mtaji.Msaada wenu tafadhali.
Bila kupoteza muda naomba mwenye uelewa wa hatua za kufuata ili kupata mkopo wa biashara katika Benki ya NMB.Mimi ni mjasiriamali,ninataka nikope ili niongeze Mtaji.Msaada wenu tafadhali.