Habari wana jukwaa la michezo ..
Mimi sio mdau sana wa masuala ya michezo
Kwa undani ila kuna jambo moja naomba kulijua kuwa kwa mfano club tangu kuanzishwa mpaka kufikia kucheza VPL hatua gani wanapitia yaani kuanzia daraja la nne ,tatu ,pili la kwanza na ligi kuu hapa ndipo sipaelewi
Mwenye uelewa naomba anieleze nami nijue