HAGAZA INVESTMENT
Member
- Nov 3, 2016
- 8
- 4
nimekua nikifanya biashara ya kufungasha unga wa ugali kwa mwaka sasa naona inalipa so nahitaji kuwekeza zaidi, nimenunua eneo nimejenga sehemu ya kuokea mikate, sehemu ya kusaga na kufungasha unga wa aina mbalimbali, ufungashaji wa maziwa fresh na mtindi pamoja ufungashaji wa nyama ya kuku. kwa 70% uwekezaji utakamilika. tatizo hasa nahitaji kujua taratibu za usajiri wa bidhaa hizo,mbinu za masoko na taasisi ambazo sitanisaidia kupata mikopo nafuu ya kiwanda hicho