Naomba kujua hawa wanaoendesha pikipiki za BMW wanajiita adventure huwa wanafaidika vipi na safari hizo?

Naomba kujua hawa wanaoendesha pikipiki za BMW wanajiita adventure huwa wanafaidika vipi na safari hizo?

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
Wadau hivi mtu Akiwa adventure huwa anapata faida a gani. Na je gharama za usafiri anapatia wapi?
Screenshot_20250207-215358.jpg
 
Wadau hivi mtu Akiwa adventure huwa anapata faida a gani. Na je gharama za usafiri anapatia wapi? View attachment 3228316mkuu hao hufanya hivyo kama sehemu ya starehe pamoja na safari za matembezi kama ilivyokuwa team teza,subaru na sasa team crown
mkuu hao hufanya hivyo kama sehemu ya starehe pamoja na safari za matembezi kama ilivyokuwa team teza,subaru na sasa team crown
 
Kuchimba dawa kwenye mapori mbalimbali Tanzania wakati wa adventure.. na saa zingine inakuaga in group work, very exciting!!
 
Yani hao jamaa wanaenjoy sana na hizo mashine ningekuwa na uwezo ningejikita huko hakuna kitu napenda kuendesha kama hizo pikipiki kubwa
 
Back
Top Bottom