Lugano Edom
Senior Member
- Dec 2, 2021
- 122
- 186
Wadau hivi mtu Akiwa adventure huwa anapata faida a gani. Na je gharama za usafiri anapatia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hao hufanya hivyo kama sehemu ya starehe pamoja na safari za matembezi kama ilivyokuwa team teza,subaru na sasa team crownWadau hivi mtu Akiwa adventure huwa anapata faida a gani. Na je gharama za usafiri anapatia wapi? View attachment 3228316mkuu hao hufanya hivyo kama sehemu ya starehe pamoja na safari za matembezi kama ilivyokuwa team teza,subaru na sasa team crown
@numbisa naomba kuuliza if cost ya mafuta ataweza kufidia safari ya dar to nairobi?Kuna wale influencers hao wanalipwa kutokana na views
@numbisa naomba kuuliza if cost ya mafuta ataweza kufidia safari ya dar to nairobi?
Maybe maana hao majamaa ukiwakuta road wapo kama vishada🔥Wapo wanaolipwa pesa ndefu hivyo wanaweza kufidia. Na wengine wanakua na sponsors na biashara zao binafsi