Naomba kujua haya kuhusiana na mtoto mchanga

Naomba kujua haya kuhusiana na mtoto mchanga

Kichwa Ngumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,726
Reaction score
314
Karibu wana JF, namba kujuzwa mambo yafuatayo kuhusiana na mtoto mchanga.
  1. Ni muda gani tangia kuzaliwa anaweza kutoka nje?
  2. Ni muda gani tangia kuzaliwa anaweza kuanza kula chakula kingine zaidi ya maziwa ya mama?
  3. Aogeshwe mara ngapi kwa siku?
  4. Nini kitamtokea mtoto kama nitaanza kufanya mapenzi na mamake baada ya siku arobaini tangia kuzaliwa na kama sita tumia condom?
  5. Na mambo mengine ambayo sijayaorodhesha ila yanaweza kunifaa juu ya mtoto mchanga.
Natambua wapo watakaosupport na wapo watakaonidis, yote nitayapokea.


Nawasilisha
 
Msindikize mama watoto clinic, utapata majibu ya masuali haya pamoja na ushauri mwingine kwa faida yenu nyote.
 
Mtoto anyonyeshwe maziwa ya mama hadi afikishe miaka miwili ila baada ya miezi 6 unaweza kumpa vyakula vingine vilaini laini.
Anaweza kutoka nje baada ya siku 40.
Ni vizuri kama mtoto ataogeshwa atleast mara mbili kwa siku ila ikitokea amejinyea muogeshe tena maji ya vuguvugu.
Kuhusu suala la kufanya mapenzi nasikia kuna kubemenda ni kwamba sperms zinakimbilia kwenye maziwa ya mama na zinadhohofisha virutubisho (naweza kusahihishwa hapo maana sina uelewa wa sana).
Mengineyo.
Mtoto asishinde na mikojo, mpe nyonyo mara anapohitaji, asikose klinik, mlinde dhidi ya malaria na magonjwa mengine, awe na vyombo vyake maalum na viwe vinachemshwa, nk..
Msalimie eeh.
Mwambie aunt husninyo amempenda ghafla.
 
Mtoto anyonyeshwe maziwa ya mama hadi afikishe miaka miwili ila baada ya miezi 6 unaweza kumpa vyakula vingine vilaini laini.
Anaweza kutoka nje baada ya siku 40.
Ni vizuri kama mtoto ataogeshwa atleast mara mbili kwa siku ila ikitokea amejinyea muogeshe tena maji ya vuguvugu.
Kuhusu suala la kufanya mapenzi nasikia kuna kubemenda ni kwamba sperms zinakimbilia kwenye maziwa ya mama na zinadhohofisha virutubisho (naweza kusahihishwa hapo maana sina uelewa wa sana).
Mengineyo.
Mtoto asishinde na mikojo, mpe nyonyo mara anapohitaji, asikose klinik, mlinde dhidi ya malaria na magonjwa mengine, awe na vyombo vyake maalum na viwe vinachemshwa, nk..
Msalimie eeh.
Mwambie aunt husninyo amempenda ghafla.

Hapo sisi sahihi saaana!!...ingawa waliosema hivo(wakunga wazamani) wamelenga kwenye hili>>>>....... ni kwamba kunauwezekano ukaapata mimba tena na kweli maziwa yakapungua/kuisha/kubadilika kabla mto haja nyonya vya kutosha!!!
 
Hapo sisi sahihi saaana!!...ingawa waliosema hivo(wakunga wazamani) wamelenga kwenye hili>>>>....... ni kwamba kunauwezekano ukaapata mimba tena na kweli maziwa yakapungua/kuisha/kubadilika kabla mto haja nyonya vya kutosha!!!

ahsante kwa kunisahihisha.
 
Mtoto anyonyeshwe maziwa ya mama hadi afikishe miaka miwili ila baada ya miezi 6 unaweza kumpa vyakula vingine vilaini laini.
Anaweza kutoka nje baada ya siku 40.
Ni vizuri kama mtoto ataogeshwa atleast mara mbili kwa siku ila ikitokea amejinyea muogeshe tena maji ya vuguvugu.
Kuhusu suala la kufanya mapenzi nasikia kuna kubemenda ni kwamba sperms zinakimbilia kwenye maziwa ya mama na zinadhohofisha virutubisho (naweza kusahihishwa hapo maana sina uelewa wa sana).
Mengineyo.
Mtoto asishinde na mikojo, mpe nyonyo mara anapohitaji, asikose klinik, mlinde dhidi ya malaria na magonjwa mengine, awe na vyombo vyake maalum na viwe vinachemshwa, nk..
Msalimie eeh.
Mwambie aunt husninyo amempenda ghafla.
Asante, anakupenda pia anaomba umtembelee
 
Hapo sisi sahihi saaana!!...ingawa waliosema hivo(wakunga wazamani) wamelenga kwenye hili>>>>....... ni kwamba kunauwezekano ukaapata mimba tena na kweli maziwa yakapungua/kuisha/kubadilika kabla mto haja nyonya vya kutosha!!!
Asante
 
Actually sio vizuri kumuogesha mtoto mchanga kila siku!Mara moja au mbili kwa wiki inatosha!
 
Kuanzia kuzaliwa mpaka miezi 6 mtoto anyonye maziwa ya mama yake mzazi tu,,miezi inayofuata ndiyo aanza kupewa vyakula laini laini huku akiendelea kunyonya maziwa ya mama yake....na ni vizuri zaidi siku ya clinic ya mtoto mwende wote baba na mama hospital kumpeleka mtoto ili mkapate kumuuliza maswali yote yanayowasumbua dr wa mtoto........watoto ni baraka ndani ya nyumba hongereni sana.......
 
Karibu wana JF, namba kujuzwa mambo yafuatayo kuhusiana na mtoto mchanga.
  1. Ni muda gani tangia kuzaliwa anaweza kutoka nje?
  2. Ni muda gani tangia kuzaliwa anaweza kuanza kula chakula kingine zaidi ya maziwa ya mama?
  3. Aogeshwe mara ngapi kwa siku?
  4. Nini kitamtokea mtoto kama nitaanza kufanya mapenzi na mamake baada ya siku arobaini tangia kuzaliwa na kama sita tumia condom?
  5. Na mambo mengine ambayo sijayaorodhesha ila yanaweza kunifaa juu ya mtoto mchanga.
Natambua wapo watakaosupport na wapo watakaonidis, yote nitayapokea.


Nawasilisha

Mengi yameshajibiwa lakini nami ntapenda kurudia kadhaa na kuafafanua kama nitaweza.
1. Hakuna muda maalum ambao mtoto anaweza toka nje, anaweza hata kutoka siku ya pili tu baada ya kuzaliwa. Cha muhimu ni kwamba, uwezo wa mtoto kutunza joto ni mdogo (hasa watoto njiti), hivyo ukimtoa nje hakikisha umemvika nguo na kumfunika ili asipoteze joto kabisa.
2. Mtoto anaweza kula chakula kingine mbali na maziwa ya mama baada ya miezi 6. Maziwa ya mama yana kila kitu mtoto anachohitaji katika miezi sita ya kwanza bila kuongeza chakula chochote. Baada ya miezi sita mtoto aendelee kunyonya mpaka miaka mi2 au zaidi huku akila vyakula mbalimbali vinavyoshauriwa kufuatana na umri wake.
3. Kuoga ni njia mojawapo ya kupoteza joto la mtoto. Ile siku ya kwanza kuzaliwa inashauriwa hasiogeshwe. Kisha waweza kuendelea kumuosha mtoto (epuka maji mengi) kadri inavyohitajika. Ni vyema kumfuta kwa kitambaa kilicholoweshwa maji ya vugu vugu unapombadili mtoto akijisaidia kuliko kumuogesha kila mara.
4. Kwa kawaida mwanamke baada ya kujifungua inachukua muda kidogo kurudi kwenye mzunguko wake wa mwezi, hii hucheleweshwa zaidi na kunyonyesha..ndio maana kunyonyesha inachukuliwa kama njia mojawapo ya kupunguza uwezekano wa mimba ya mapema. Ukifanya mapenzi na mama mtoto baada ya siku arobaini ataweza kupata mimba. Akipata mimba mfumo wake wa 'hormoni' hutabadilika na maziwa yatapungua hadi kuisha kabisa, kitu ambacho kinaweza kuathiri afya ya mtoto (ndio wanaita kubemenda, sio kweli manii/mbegu ndio zitamuathiri mtoto kupitia maziwa). Sio mbaya kuanza kufanya mapenzi baada ya arobaini, lakini mtumie 'kondomu' ili kuepusha mimba ya haraka ambayo zaidi ya kuweza kuleta athari kwa mtoto, inamuathiri na mama pia.
5. Mambo mengine: mpende sana mwanao na mama yake, spend nao time ya kutosha, hii inamsaidia mama kutulia kiakili na kihisia na kutoa maziwa ya kutosha kwa mtoto, shiriki kumhudumia mtoto (kuchange dippers, nepi, etec), cheza na mtoto ujenge bond, and enjoy fatherhood!
 
Asante sana mkuu
Mengi yameshajibiwa lakini nami ntapenda kurudia kadhaa na kuafafanua kama nitaweza.

1. Hakuna muda maalum ambao mtoto anaweza toka nje, anaweza hata kutoka siku ya pili tu baada ya kuzaliwa. Cha muhimu ni kwamba, uwezo wa mtoto kutunza joto ni mdogo (hasa watoto njiti), hivyo ukimtoa nje hakikisha umemvika nguo na kumfunika ili asipoteze joto kabisa.
2. Mtoto anaweza kula chakula kingine mbali na maziwa ya mama baada ya miezi 6. Maziwa ya mama yana kila kitu mtoto anachohitaji katika miezi sita ya kwanza bila kuongeza chakula chochote. Baada ya miezi sita mtoto aendelee kunyonya mpaka miaka mi2 au zaidi huku akila vyakula mbalimbali vinavyoshauriwa kufuatana na umri wake.
3. Kuoga ni njia mojawapo ya kupoteza joto la mtoto. Ile siku ya kwanza kuzaliwa inashauriwa hasiogeshwe. Kisha waweza kuendelea kumuosha
mtoto (epuka maji mengi) kadri inavyohitajika. Ni vyema kumfuta kwa kitambaa kilicholoweshwa maji ya vugu vugu unapombadili mtoto akijisaidia kuliko kumuogesha kila mara.
4. Kwa kawaida mwanamke baada ya kujifungua inachukua muda kidogo kurudi kwenye mzunguko wake wa mwezi, hii hucheleweshwa zaidi na kunyonyesha..ndio maana kunyonyesha inachukuliwa kama njia mojawapo ya kupunguza uwezekano wa mimba ya mapema. Ukifanya mapenzi na mama mtoto baada ya siku arobaini ataweza kupata mimba. Akipata mimba mfumo wake wa 'hormoni' hutabadilika na maziwa yatapungua hadi kuisha kabisa, kitu ambacho kinaweza kuathiri afya ya mtoto (ndio wanaita kubemenda, sio kweli manii/mbegu ndio zitamuathiri mtoto kupitia maziwa). Sio mbaya kuanza kufanya mapenzi baada ya arobaini, lakini mtumie 'kondomu' ili kuepusha mimba ya haraka ambayo zaidi ya kuweza kuleta athari kwa mtoto, inamuathiri na mama pia.
5. Mambo mengine: mpende sana mwanao na mama yake, spend nao time ya kutosha, hii inamsaidia mama kutulia kiakili na kihisia na kutoa maziwa ya kutosha kwa mtoto, shiriki kumhudumia mtoto (kuchange dippers, nepi, etec), cheza na mtoto ujenge bond, and enjoy fatherhood!
 
Google utapata majibu yote maana hospitali hasa za private wala hawatoi elimu yoyote. Mwanangu nimemlea kwa kutumia internet. Very helpful unaregister then wanakuwa wanaku update tokana na umri wa mwanao.
 
Back
Top Bottom