Anyonye kwa muda wa Miezi 6 bila kupewa chakula kingine chochote(exclusive breast feeding) baada ya hapo unamuanzishia vyakula laini kama vile Uji,Mtori...nk.
Kulia/kushtuka kama hana ugonjwa wowote Jaribu kumnyonyesha Vizuri kabla ya kulala ashibe Vizuri.
Mtoto anapata choo Jinsi anavyonyonya akinyonya zaidi tegemea atapata choo kila wakati, Choo kinakua laini kwani Asilimia kubwa anatumia vyakula laini