Naomba kujua hii taa kwenye gari inaashiria nini?

Naomba kujua hii taa kwenye gari inaashiria nini?

cha1509

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
258
Reaction score
402
Wataalamu naja kwenu na shida moj, naomba kujua hii taa kwenye dash board ya kigari changu, Toyota Allex inaashiria nini?

Maana taa hii huwa wakati unapo switch on, na unapokuwa unaendesha, Sasa naomba kujua ina maana gani?

Nina hakika sio check engine light, ila ni ya nini? Na kwanini haizimiki?

Naomba kuwasilisha!

IMG_20200228_115742_4.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Supplemental Restraint system (SRS- Airbag) warning light...

Kwa upande wangu nasema hiyo si warning light bali ni DANGEROUS LIGHT.....Never take it for granted..

Taa ya onyo inawaka njano au orange na Taa ya HATARI inawaka nyekundu..

Hiyo taa inapowaka inaashiria mfumo mmojawapo wa SRS airbag haufanyi kazi....imaweza kuwa fuse mbovu au hata computer inyohusika na SRS Airbag au kitu kingine chochote kinachounda mfumo wa SRS Airbag.

Madhara ya kuwaka kwa hiyo taa ni kupelekea kutokufunguka kwa Airbags pale utakapopata ajali......hivyo madhara ya ajali yatakuwa makubwa zaidi kiasi kwamba ajali ambayo ulikuwa u-survive kwa msaada wa SRA Airbag, basi bila SRS Airbag mhanga wa ajali hiyo atapoteza maisha..

Hatua za awali kagua fuse ya SRS Airbag kama ni nzima au imeungua....kama ni nzima nenda kafanye diagnosis ili upate code inayohusika na eneo linalosumbua....

Endapo utakuta fuse imeungua, jiulize ni kwa nini imeungua....huenda kuna short circuit kwenye mfumo mzima wa SRS Airbag.

Taa hiyo ikiwaka na gari ikapata ajali, abiria na dereva wanaumia sawa tu na mtu aliyeko ndani ya bajaji..

NB.....kuna baadhi ya model za magari seat belt inaunganishwa na SRS Airbag module hivyo usipofunga mkanda, SRS Airbag haita operate vizuri wakati wa impact ya ajali..
Kwa gari lako sijajua kama lipo hivyo ila kama ukifunga mkanda , taa bado inawaka, wahi kwa fundi ufanye vipimo..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Supplemental Restraint system (SRS- Airbag) warning light...

Kwa upande wangu nasema hiyo si warning light bali ni DANGEROUS LIGHT.....Never take it for granted..

Taa ya onyo inawaka njano au orange na Taa ya HATARI inawaka nyekundu..

Hiyo taa inapowaka inaashiria mfumo mmojawapo wa SRS airbag haufanyi kazi....imaweza kuwa fuse mbovu au hata computer inyohusika na SRS Airbag au kitu kingine chochote kinachounda mfumo wa SRS Airbag.

Madhara ya kuwaka kwa hiyo taa ni kupelekea kutokufunguka kwa Airbags pale utakapopata ajali......hivyo madhara ya ajali yatakuwa makubwa zaidi kiasi kwamba ajali ambayo ulikuwa u-survive kwa msaada wa SRA Airbag, basi bila SRS Airbag mhanga wa ajali hiyo atapoteza maisha..

Hatua za awali kagua fuse ya SRS Airbag kama ni nzima au imeungua....kama ni nzima nenda kafanye diagnosis ili upate code inayohusika na eneo linalosumbua....

Endapo utakuta fuse imeungua, jiulize ni kwa nini imeungua....huenda kuna short circuit kwenye mfumo mzima wa SRS Airbag.

Taa hiyo ikiwaka na gari ikapata ajali, abiria na dereva wanaumia sawa tu na mtu aliyeko ndani ya bajaji..

NB.....kuna baadhi ya model za magari seat belt inaunganishwa na SRS Airbag module hivyo usipofunga mkanda, SRS Airbag haita operate vizuri wakati wa impact ya ajali..
Kwa gari lako sijajua kama lipo hivyo ila kama ukifunga mkanda , taa bado inawaka, wahi kwa fundi ufanye vipimo..


Sent using Jamii Forums mobile app
Mm bro nifunge mkanda nisifunge mkanda hiyo taa inawaka tu, Sasa nahis diagnosis n mihimu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalamu naja kwenu na shida moj, naomba kujua hii taa kwenye dash board ya kigari changu, Toyota Allex inaashiria nini?

Maana taa hii huwa wakati unapo switch on, na unapokuwa unaendesha, Sasa naomba kujua ina maana gani?

Nina hakika sio check engine light, ila ni ya nini? Na kwanini haizimiki?

Naomba kuwasilisha!

View attachment 1372250

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huo ni mkanda wa stealing umekatika , hatua itakayofuata ni honi kutofanya kazi,, nenda kanunue ubadilisha, ni very simple

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Air Bags module ina shida nakumbuka 2017 baada ya kupata ajali tuligonga mti upande wa taa ya kulia ya mbele ya Gari [sensor ipo mitaa hii] kilichotokea baada ya sekunde kadhaa airbags zikafumuka ya steering ilichanika na ya kushoto kwa abiria [mim nilikaa hapo]...hatukuwatumefunga mikanda hivo ilijiloki
baad ya matengenezo yote iyo taa ikawa inawakaga tu...... nikatoa glopu yake kwenye dashboard mana airbag nmerudisha ya steering tu...... ya abiria bdo
NB: Gari ni yazamani hivo sijarepair maana airbagi ilinipa hasara tu ilichlewa kufumuka jamaa akapasua kioo kwa kupiga kichwa shortly sikuona msaada wa airbag ....... Pia ile harufu inatoka katika airbaG inaleta feelings ya umauti.........

Mm bro nifunge mkanda nisifunge mkanda hiyo taa inawaka tu, Sasa nahis diagnosis n mihimu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Air Bags module ina shida nakumbuka 2017 baada ya kupata ajali tuligonga mti upande wa taa ya kulia ya mbele ya Gari [sensor ipo mitaa hii] kilichotokea baada ya sekunde kadhaa airbags zikafumuka ya steering ilichanika na ya kushoto kwa abiria [mim nilikaa hapo]...hatukuwatumefunga mikanda hivo ilijiloki
baad ya matengenezo yote iyo taa ikawa inawakaga tu...... nikatoa glopu yake kwenye dashboard mana airbag nmerudisha ya steering tu...... ya abiria bdo
NB: Gari ni yazamani hivo sijarepair maana airbagi ilinipa hasara tu ilichlewa kufumuka jamaa akapasua kioo kwa kupiga kichwa shortly sikuona msaada wa airbag ....... Pia ile harufu inatoka katika airbaG inaleta feelings ya umauti.........



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Airbarg inataka kuwaka moto[emoji23]
Wataalamu naja kwenu na shida moj, naomba kujua hii taa kwenye dash board ya kigari changu, Toyota Allex inaashiria nini?

Maana taa hii huwa wakati unapo switch on, na unapokuwa unaendesha, Sasa naomba kujua ina maana gani?

Nina hakika sio check engine light, ila ni ya nini? Na kwanini haizimiki?

Naomba kuwasilisha!

View attachment 1372250

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni airbag na itakua ni huo mkanda hapo ndani ya steering unaitwa clock spring ndio utakuwa umekufa... inavyowaka taa inamaanisha ukipata ajali airbag haita deploy sasa badilisha clock spring hiyo taa itazima.. nilipata hiyo shida kwenye mark x nikatoa clock spring kuweka mpya ikazima
 
Back
Top Bottom