Naomba kujua hili juu ya mafuta ya karafuu

Chimunu

Senior Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
159
Reaction score
25
Habar wadau wa jf docto ninaomba kuuliza leo ni zipi faida hasa za kutumia mafuta ya karafuu katika kuongeza nguvu za kiume au maumbile ya uume
Hii ni kutokana na habar ambazo nimekuwa nikisikia mitaani kua mafuta hayo husaidia kuongeza size au maumbile ya uume lkn pia wapo wanaodai ukiyatumia kuchua uume unaongeza nguvu tafadhali mwenye kufahamu anisaidie
 
kwenge nguvu nakubali (usiulize how, ), ila kwa ishu ua size sijui na sidhani kama inawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…