Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Naomba anayemfahamu Christina shusho anifahamishe historia yake ni mtanzania au mkongo?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rose muhando nahisi bando hayuko sawa psychological inabidi apewe msaadaAmependeza Shusho. [emoji3590] Malkia wa Zaburi.
Aliyemvalisha Rose Muhando sawa tu [emoji23] Her dress looks like imemvaa na sio yeye kuivaa.
Kigoma,Katavi na Bukoba ndiko kwakwenda kuoa,wadada wa kule ni mchanganyiko,wako vizuri kwa sura hadi maumbo.shusho anajua
Ana sauti nzuri
ni mzuri juu mpaka chini
Rangi nzuri sana
Ni mzaliwa wa Kigoma(mtanirekebisha kama nimekosea)
Naomba niishie hapa nisije nikaharibu. Namuelewa sana, mno.
View attachment 2582680
sister amebarikiwashusho anajua
Ana sauti nzuri
ni mzuri juu mpaka chini
Rangi nzuri sana
Ni mzaliwa wa Kigoma(mtanirekebisha kama nimekosea)
Naomba niishie hapa nisije nikaharibu. Namuelewa sana, mno.
View attachment 2582680
Huyo shusho ni mzuri sana au ni macho yangu yananidanganya?Kigoma,Katavi na Bukoba ndiko kwakwenda kuoa,wadada wa kule ni mchanganyiko,wako vizuri kwa sura hadi maumbo.
Nadhani mwenye uhakika na hili atajibusister amebarikiwa
anajua kufanya live performance
hivi ameolewa?
Ana kibesi flani amaizeshusho anajua
Ana sauti nzuri
ni mzuri juu mpaka chini
Rangi nzuri sana
Ni mzaliwa wa Kigoma(mtanirekebisha kama nimekosea)
Naomba niishie hapa nisije nikaharibu. Namuelewa sana, mno.
View attachment 2582680
Mmmm ya ukweli hayo ?Kigoma,Katavi na Bukoba ndiko kwakwenda kuoa,wadada wa kule ni mchanganyiko,wako vizuri kwa sura hadi maumbo.
Yuko live hapo wasafi.. check vidole kwa uhakiki wa swali lakosister amebarikiwa
anajua kufanya live performance
hivi ameolewa?
Unaongelea nini mke wangu kipenzi nikupendaye kwa moyo wote?Amependeza Shusho. [emoji3590] Malkia wa Zaburi.
Aliyemvalisha Rose Muhando sawa tu [emoji23] Her dress looks like imemvaa na sio yeye kuivaa.
Mtoto wa Kinyarwandashusho anajua
Ana sauti nzuri
ni mzuri juu mpaka chini
Rangi nzuri sana
Ni mzaliwa wa Kigoma(mtanirekebisha kama nimekosea)
Naomba niishie hapa nisije nikaharibu. Namuelewa sana, mno.
View attachment 2582680
Acha kabisa kuna watu wamebarikiwa sana, hiyo rangi yake mashallah 😋Ana kibesi flani amaize
Ana asili ya huko?Mtoto wa Kinyarwanda
Mbna inasemekana ni Burundi.Mtoto wa Kinyarwanda
ndio namcheki hapaYuko live hapo wasafi.. check vidole kwa uhakiki wa swali lako