lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Nimekata hizi ndizi kubwa kubwa Sana, hapa kwetu zinaitwa mkono wa tembo, sijawahi kuzila hata siku moja.
Naomba wataalamu wabobezi wa Aina mbalimbali ya kuziandaa ndizi hizi kwa ajili ya kula mnielimishe namna ya kuziandaa.
Nimetumia neno kuandaa kwa sababu Kuna Aina mbalimbali ya kuzipika ama kuzikaanga ama kuzichoma.
Kwa kweli sijui,naomba mnipe elimu hapa.
Naomba wataalamu wabobezi wa Aina mbalimbali ya kuziandaa ndizi hizi kwa ajili ya kula mnielimishe namna ya kuziandaa.
Nimetumia neno kuandaa kwa sababu Kuna Aina mbalimbali ya kuzipika ama kuzikaanga ama kuzichoma.
Kwa kweli sijui,naomba mnipe elimu hapa.