1. Idadi ya herufi (na namba) ifike 10 au zaidi
2. Hakikisha password yako ina namba/tarakimu
3. Ina herufi ndogo
4. Ina herufi kubwa
5. Ina herufi maalumu (hapa tumia "@" au "&" au "!")
Pia hakikisha password yako hiyo unajaza sehemu mbili:
1. Hapo kwenye "password"
2. "confirm password"