Naomba kujua jinsi ya kuuza makala

Supervision

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
265
Reaction score
203
Hellow habari,

Mimi ni mwandishi wa makala za utambuzi naomba nisaidiwe jinsi ya ambavyo naweza kuuza makala zangu kupitia magazeti. Ama kama naweza kuzirusha kupitia vipindi vya TV.
 
Hellow habari,mimi nii mwandishi wa makala za utambuzi naomba nisaidiwe jinsi ya ambavyo naweza kuuza makala zangu kupiyia magazeti.Ama kama naweza kuzirusha kupitia vipindi vya TV
mkuu nenda azam pale kajielezee vizuri. wakikuelewa utapiga mpunga mrefu sana
 
Makala pia huweza kuwa zimerekoduwa na baadaye huwa zinarushwa.Naona nyingi zikirushwa pia kuoitia TV.

Ninazo pia ambazo nimezirekodi.Lakini ishu napenyaje
 
TV nyingi hurusha ila siyo kama hizi ambazo mimi nafanya
 
Makala pia huweza kuwa zimerekoduwa na baadaye huwa zinarushwa.Naona nyingi zikirushwa pia kuoitia TV.

Ninazo pia ambazo nimezirekodi.Lakini ishu napenyaje
Umerekodi vipindi mwenyewe au ulienda production house ?
 
Siandiki makala za kisiasa hizi ni za utambuzi@Ze General
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…