nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Dua limempata mwewe!joyce kiria, amini usiamini, kama kweli ulimfanya huyu jamaa kitu mbaya, kuna siku utakuja kulia machozi ya damu. hata hivyo shukuru jamaa ni ----, ningekuwa mimi wewe na yule kada msingekuwepo hapa duniani. shukuru jamaa ni mstaarabu sana.ulifanya kitu kibaya sana, ni kweli mlishaachana kila mtu ana maisha yake lakini itatakiwa ufike kipindi ukubali ukweli, uregret na utubu ili nafsi iache kukusuta kwasababu kama haitakupata wewe itawapata hata watoto, ni laana inaenda hadi kizazi cha nne.
Njoo ukoment tena mkuu! Maana kakinukisha tena, sijui ushauri wako huu utabaki constant su utabadilikumtoa mtu mbali na kumsaidia ni sawa lakini haimaanishi kuwa eti ukae na mtu kwa mateso tuu kisa kakutoa mbali....... sometime inabidi upime uchukue maamuzi mapemaaaa
BIG UP JOYCE
Tunafukua makaburi[emoji23][emoji23] jf forever! kaburi limefukuliwa
Juzi kamfumani Kileo na shilawaduHivi joyce ana mtoto wa kike? Ninao waona ni wa kiuke wawili
OohThe truth is... Joyce aliolewa na DJ Nelly kwa ndoa kubwa tu na wakaishi kwa takribani more than one year. Sasa kilichotokea ni kwamba DJ Nelly mambo yake yakaharibika (yaani alirun bankrupt kifedha) hivyo Joyce akamwambia hawezi kuishi naye tena, cause si saizi yake... lakini kubwa zaidi linaloniuma hata mimi ni kwamba Joyce alimtangazia DJ Nelly kuwa mtoto si riziki, hivyo jamaa akaamua "mama nenda na safari njema." Na kwa kuwa sisi Wakristo huwezi kutoa talaka, Nelly alishindwa kufanya hivyo... Mimba aliyonayo hivi sasa ni ya mshikaji mmoja hivi jina lake linahifadhiwa kwa sasa.
Mkuu utakuwa nabii wewe.joyce kiria, amini usiamini, kama kweli ulimfanya huyu jamaa kitu mbaya, kuna siku utakuja kulia machozi ya damu. hata hivyo shukuru jamaa ni ----, ningekuwa mimi wewe na yule kada msingekuwepo hapa duniani. shukuru jamaa ni mstaarabu sana.ulifanya kitu kibaya sana, ni kweli mlishaachana kila mtu ana maisha yake lakini itatakiwa ufike kipindi ukubali ukweli, uregret na utubu ili nafsi iache kukusuta kwasababu kama haitakupata wewe itawapata hata watoto, ni laana inaenda hadi kizazi cha nne.
lakini si umeona yamemfika shingoni tayari?Hahahaaa yaani we unachekesha kweli!
Mungu sio Athuman kusema kwamba utamuambukiza chuki hata akae analaani watu hovyo!
hata hivyo mimi ni nabii. wewe wasema.Mkuu utakuwa nabii wewe.
Mnasahau kuwa huyo MDADA ni Kabila gani.Du Inasikitisha sana. Lakini yeye mwenyewe aliahidi, kwa shida na raha. Laana itamfikia, Ndoa haichezewi hata siku moja. Wapo walioichezea tunawaona walivyo hivi sasa.